Kweli yan mm mwenyewe nmepanga mwaka jana nilisevu laki saba,, japo zkaliwa na uncle na mwaka huu nmesavu laki tano mpaka sasa na kunajamaaa angu yeye yupo udsm mpaka sasa kanunua ng'ombe wanne wapo home.
Kwaiyo me naona huwa ni mipango na matumiz ya mtu huska tu,,,, lakn mpaka apo sjawah enda...