Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Binti yake Billy Graham alihojiwa katika kipindi cha Early Show kinachoongozwa na Jane Clayson, alimuuliza "Hivi inakuwaje Mungu anaruhusu mambo kama haya yanatokea? Akimaanisha Shambulio la Kigaidi la Sept 11, Vimbunga, Matetemeko ya Ardhi.
Anne Graham akatoa ufafanuzi na jibu ambalo limejaa umakini mkubwa, akasema "Ninaamini Mungu anasikitishwa sana na mambo haya, kama yanavyotuhunisha sisi, Lakini chakusikitisha zaidi kwa miaka mingi sana tumekuwa tukimwambia Mungu asijishughulishe na shule zetu, asijishughulishe na serikali na taifa letu, na mbaya zaidi asijishughulishe na maisha yetu. Sasa kwa kuwa Mungu wetu niwa hekima na msikivu, naamini kabisa ameamua kutuacha.
Sasa inakuwaje tunatarajia atupe baraka zake na ulinzi wake wakati tumemwacha na tumemwambia asishughulike na mambo yetu?
Kwa mfano kwa matukio yalitokea hivi punde kama mashambulio ya kigaidi, Kupigwa risasi kwa wanafunzi mashuleni na n.k. Nafikiri yameanza wakati Madeleine Murray O'Hare (ambaye ameuwawa na mwili wake umepatika siku za karibuni) alipolalamika na kudai hapendi maombi na maombezi yafanyike katika shule zetu. Na sote tulikubali kuondoa maombi mashuleni. Wengine wakasema kusiwe na masomo ya Biblia mashuleni.
Lakini Biblia ndio inafundisha ikisema "Usiue", "Usiibe" na mpende jirani yako kama nafsi yako. Na sote tulisema sawa mafundisho ya Biblia yaondolewe mashuleni.
Pia Dr. Benjamin Spock alisema tusiwaadhibu watoto wetu wanapokosa kwasababu kwa kufanya hivyo tunaathiri utu wao na kuwavunjia heshima zao (chakusikitisha mtoto wake mwenyewe Dr. Spock alijinyonga). Tulisema watalaam wanatambua nini wanachozungumza. Na wote tukaridhia tukaacha kuwaadhibu watoto.
Lakini sasa tunajiuliza maswali kwanini watoto wetu hawajitambui wala hawawezi kutofautisha jema na baya, kwanini hawana hofu ya kuua watu wengine, ama wanafunzi wenzao, au kujiua wenyewe.
Yamkini, kama tukifikiria kwa makini, tunaweza kugundua tatizo liko wapi. Ila nadhani hali hii inatokana na dhana kwamba "TUNAVUNA TULICHOPANDA"
Inasikitisha ilivyorahisi watu kudharau na kumwacha Mungu, na kushangaa kwanini dunia inaenda jehanamu. Inasikitisha kwa jinsi tunavyoamini kinachoandikwa katika magazeti, lakini tunahoji kilichoandikwa kwenye Neno la Mungu.
Inasikitisha ilivyorahisi kutuma habari za utani/ mzaha kwa kutumia mitandao ya kijamii kama barua pepe, na zinasambaa kwa haraka utadhani moto wa nyikani, lakini kutuma habari zinazomhusu Mungu unasitasita kutuma kwa wengine.
Inasikitisha kuona jumbe zenye maneno ya kashfa, matusi, kejeli, dharau, zisizo na staha zinavyoweza kutumwa katika mtandao kirahisi, wakati huo huo majadiliano ama mafundisho ya Neno la Mungu kwenye jamii yanazuiwa na kuwekewa vikwazo yasifanyike mashuleni, na maeneo ya kazi... Unacheka?
Inasikitisha kuona jinsi unavyosita na pengine kuacha kutuma ujumbe huu kwa watu wengi uwezavyo au kwa wale ambao una namba zao za simu kwasababu huna uhakika na kile wanachoamini, au watakufikiriaje unakapowatumia ujumbe huu.
Inasikitisha tunavyoweza kuwa na wasiwasi na woga juu ya watu watakavyotufikiria na sio Mungu anavyotufikiria.
Tafadhali tuma kwa watu wengine kama unafikiria ujumbe huu utawasaidia, kama huamini hivyo basi unaweza ukaacha usiwatumie, kwasababu hakuna atakayefahamu kuwa hukuwatumia.
Lakini ukiacha kutuma ujumbe huu na tafakari hii, basi usije ukaanza kulalamika jinsi dunia hii inavyoharibika.
Mungu akubariki na tafadhali watumie na rafiki zako na watu wengine.
Hakuna Taifa ama mtu yeyote anayeweza kuwa salama ama kufanikiwa bila kumshirikisha Mungu.
Anne Graham akatoa ufafanuzi na jibu ambalo limejaa umakini mkubwa, akasema "Ninaamini Mungu anasikitishwa sana na mambo haya, kama yanavyotuhunisha sisi, Lakini chakusikitisha zaidi kwa miaka mingi sana tumekuwa tukimwambia Mungu asijishughulishe na shule zetu, asijishughulishe na serikali na taifa letu, na mbaya zaidi asijishughulishe na maisha yetu. Sasa kwa kuwa Mungu wetu niwa hekima na msikivu, naamini kabisa ameamua kutuacha.
Sasa inakuwaje tunatarajia atupe baraka zake na ulinzi wake wakati tumemwacha na tumemwambia asishughulike na mambo yetu?
Kwa mfano kwa matukio yalitokea hivi punde kama mashambulio ya kigaidi, Kupigwa risasi kwa wanafunzi mashuleni na n.k. Nafikiri yameanza wakati Madeleine Murray O'Hare (ambaye ameuwawa na mwili wake umepatika siku za karibuni) alipolalamika na kudai hapendi maombi na maombezi yafanyike katika shule zetu. Na sote tulikubali kuondoa maombi mashuleni. Wengine wakasema kusiwe na masomo ya Biblia mashuleni.
Lakini Biblia ndio inafundisha ikisema "Usiue", "Usiibe" na mpende jirani yako kama nafsi yako. Na sote tulisema sawa mafundisho ya Biblia yaondolewe mashuleni.
Pia Dr. Benjamin Spock alisema tusiwaadhibu watoto wetu wanapokosa kwasababu kwa kufanya hivyo tunaathiri utu wao na kuwavunjia heshima zao (chakusikitisha mtoto wake mwenyewe Dr. Spock alijinyonga). Tulisema watalaam wanatambua nini wanachozungumza. Na wote tukaridhia tukaacha kuwaadhibu watoto.
Lakini sasa tunajiuliza maswali kwanini watoto wetu hawajitambui wala hawawezi kutofautisha jema na baya, kwanini hawana hofu ya kuua watu wengine, ama wanafunzi wenzao, au kujiua wenyewe.
Yamkini, kama tukifikiria kwa makini, tunaweza kugundua tatizo liko wapi. Ila nadhani hali hii inatokana na dhana kwamba "TUNAVUNA TULICHOPANDA"
Inasikitisha ilivyorahisi watu kudharau na kumwacha Mungu, na kushangaa kwanini dunia inaenda jehanamu. Inasikitisha kwa jinsi tunavyoamini kinachoandikwa katika magazeti, lakini tunahoji kilichoandikwa kwenye Neno la Mungu.
Inasikitisha ilivyorahisi kutuma habari za utani/ mzaha kwa kutumia mitandao ya kijamii kama barua pepe, na zinasambaa kwa haraka utadhani moto wa nyikani, lakini kutuma habari zinazomhusu Mungu unasitasita kutuma kwa wengine.
Inasikitisha kuona jumbe zenye maneno ya kashfa, matusi, kejeli, dharau, zisizo na staha zinavyoweza kutumwa katika mtandao kirahisi, wakati huo huo majadiliano ama mafundisho ya Neno la Mungu kwenye jamii yanazuiwa na kuwekewa vikwazo yasifanyike mashuleni, na maeneo ya kazi... Unacheka?
Inasikitisha kuona jinsi unavyosita na pengine kuacha kutuma ujumbe huu kwa watu wengi uwezavyo au kwa wale ambao una namba zao za simu kwasababu huna uhakika na kile wanachoamini, au watakufikiriaje unakapowatumia ujumbe huu.
Inasikitisha tunavyoweza kuwa na wasiwasi na woga juu ya watu watakavyotufikiria na sio Mungu anavyotufikiria.
Tafadhali tuma kwa watu wengine kama unafikiria ujumbe huu utawasaidia, kama huamini hivyo basi unaweza ukaacha usiwatumie, kwasababu hakuna atakayefahamu kuwa hukuwatumia.
Lakini ukiacha kutuma ujumbe huu na tafakari hii, basi usije ukaanza kulalamika jinsi dunia hii inavyoharibika.
Mungu akubariki na tafadhali watumie na rafiki zako na watu wengine.
Hakuna Taifa ama mtu yeyote anayeweza kuwa salama ama kufanikiwa bila kumshirikisha Mungu.