malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,746
- 2,623
Namim mnipm mkuu kama unayo namba yakekama ni unayo ni mp mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namim mnipm mkuu kama unayo namba yakekama ni unayo ni mp mkuu
Mkuu nipe namba yake maana nimetafuta sana pm wala hajibu na mara yamwisho nlimuona online ktk nyuzi ya bwana mmoja mtoto wake kagundulika ana HIVNiwape namba yake? Yuko field Pakistan
yani sijui umeandika nini. ni bora tu usingepost chochote maana hueleweki kabisa upo upande ganiSIKUWAHI KUKUTANA NA THREADS KAMA HIZI HAPA JF.DUUH DECEPTION KAMA SIASA UMEIPIGA KWELI KWELI ASEE.ILA UMEFELI KULINK HIV NA MADAKTARI AMA HIV NA POLITICIANS. TUNAPOSEMA HIV NI AGENT DAKTARI ANA UELEWE MDOGO SANA KUHUSU HILI MBALI NA WANASIASA ULIOWATAJA. AS A MICROBIOLOGIST NAISHIA HAPA ILA NI UJINGA KUDHANI DAKTARI ANAJUA VIMELEA VYA MAGONJWA. HAYA DENGUE FEVER NA YENYEWE NI KIRUSI VIPI WANASEMAJE AU HILI LA KWELI NA ZIKA NA CHIKUNGUNYA OOH EBOLA JE?. ILA MM NAPENDA SABB TZ SIASA MBELE UTAALAMU NYUMA EEEH KWAN NN ACHA TUFE.HAHAAA
Deception yupo kwenye uzi wenye title ya "Shujaa Deception yupo wapi?". kamcheki huko.Mkuu nipe namba yake maana nimetafuta sana pm wala hajibu na mara yamwisho nlimuona online ktk nyuzi ya bwana mmoja mtoto wake kagundulika ana HIV
Kule mbona hareplyDeception yupo kwenye uzi wenye title ya "Shujaa Deception yupo wapi?". kamcheki huko.
Nenda post ya 39 kama sjakoseaKule mbona hareply
Nimeenda mkuu nimemuona daa jamaa kapotea sana wakati sis tunaomfuatilia tunataka atupe madini atutoe gizani mapemaNenda post ya 39 kama sjakosea
Nimeenda mkuu nimemuona daa jamaa kapotea sana wakati sis tunaomfuatilia tunataka atupe madini atutoe gizani mapema
Kama unataka namba za Deception kwa msaada nipigie ntakupa. 0762766665.Ila uwe na mambo ya msingi au mgonjwa unahitaji msaada.
Tukisema Tanzania haina wasomi ila ina wajinga waliosoma bila kufuta ujinga mnatuona wajinga pia ..SIKUWAHI KUKUTANA NA THREADS KAMA HIZI HAPA JF.DUUH DECEPTION KAMA SIASA UMEIPIGA KWELI KWELI ASEE.ILA UMEFELI KULINK HIV NA MADAKTARI AMA HIV NA POLITICIANS. TUNAPOSEMA HIV NI AGENT DAKTARI ANA UELEWE MDOGO SANA KUHUSU HILI MBALI NA WANASIASA ULIOWATAJA. AS A MICROBIOLOGIST NAISHIA HAPA ILA NI UJINGA KUDHANI DAKTARI ANAJUA VIMELEA VYA MAGONJWA. HAYA DENGUE FEVER NA YENYEWE NI KIRUSI VIPI WANASEMAJE AU HILI LA KWELI NA ZIKA NA CHIKUNGUNYA OOH EBOLA JE?. ILA MM NAPENDA SABB TZ SIASA MBELE UTAALAMU NYUMA EEEH KWAN NN ACHA TUFE.HAHAAA
hapo mwishoni ni kama sijakuelewa vileWenye elimu ya darasani pamoja na nadharia za vitabu watapambana kuonekana wapo sahihi
Wanaotaka kuujua ukweli bado wamekamatwa katika historia na uzoefu wa mtaani, Hii inawatia hofu kuamini.
Maandiko ya Prof. Peter Duesberg pia documentaries za youtube katika page https://www.youtube.com/user/rethinkingAIDS
Pamona na uzi huu kupitia replies za Deception, ni wazi kuwa virusi vya HIV zamani viliitwa HTLV-III, kuna uwongo uliofunikwa na uwoga wa kutotak kutambua mambo.
Mimi ni muhanga wa suala hili, nimepoteza watu wawili wa karibu, wote walikuwa na ugonjwa huu ila walikufa na magonjwa tofauti
Pia niliwahi kulala mara 2 na dada mwenye HIV POSITIVE ANTIBODIES . Nilipoenda kumpima baada ya kuwa nina suspect ana mahusiano zaidi ya mimi ndipo nilipogundua vipimo vinamtambua kama mwathirika. Katika ku-google ili kupata taarifa namna ya kuipokea hali hiyo, ndipo nilipo kutana na huu uzi pamoja na replies za Deception. (Nilirudi hospitali kucheki tena, kama nilivyo shauriwa na mshauri na saha na sikukutwa na maambukizi)
Kwa ukweli nimejifunza mengi sana. Yule dada nilikuwa nae karibu mpaka akanza dawa kwa maana ya kwenda clinic na kuchukua dawa ila hakuwahi kuzitumia na hajawahi hata kuumwa kichwa, pneumonia au TB wala kuhara, ni muda umepita sasa na sijawahi kumuona na tatizo lolote. Kule clinic wanamsifu kuwa CD4 zinapanda kwa kutumia ARVs ila mimi na yeye tunajua kuwa huwa hatumii kabisa.
Nimalize kwa kusema,
Medical researchers should investigate the hypothesis,Drugs/AIDS . Tuache hili la HIV/AIDS, imetosha .
Saf sana mkuuWenye elimu ya darasani pamoja na nadharia za vitabu watapambana kuonekana wapo sahihi
Wanaotaka kuujua ukweli bado wamekamatwa katika historia na uzoefu wa mtaani, Hii inawatia hofu kuamini.
Maandiko ya Prof. Peter Duesberg pia documentaries za youtube katika page https://www.youtube.com/user/rethinkingAIDS
Pamona na uzi huu kupitia replies za Deception, ni wazi kuwa virusi vya HIV zamani viliitwa HTLV-III, kuna uwongo uliofunikwa na uwoga wa kutotak kutambua mambo.
Mimi ni muhanga wa suala hili, nimepoteza watu wawili wa karibu, wote walikuwa na ugonjwa huu ila walikufa na magonjwa tofauti
Pia niliwahi kulala mara 2 na dada mwenye HIV POSITIVE ANTIBODIES . Nilipoenda kumpima baada ya kuwa nina suspect ana mahusiano zaidi ya mimi ndipo nilipogundua vipimo vinamtambua kama mwathirika. Katika ku-google ili kupata taarifa namna ya kuipokea hali hiyo, ndipo nilipo kutana na huu uzi pamoja na replies za Deception. (Nilirudi hospitali kucheki tena, kama nilivyo shauriwa na mshauri na saha na sikukutwa na maambukizi)
Kwa ukweli nimejifunza mengi sana. Yule dada nilikuwa nae karibu mpaka akanza dawa kwa maana ya kwenda clinic na kuchukua dawa ila hakuwahi kuzitumia na hajawahi hata kuumwa kichwa, pneumonia au TB wala kuhara, ni muda umepita sasa na sijawahi kumuona na tatizo lolote. Kule clinic wanamsifu kuwa CD4 zinapanda kwa kutumia ARVs ila mimi na yeye tunajua kuwa huwa hatumii kabisa.
Nimalize kwa kusema,
Medical researchers should investigate the hypothesis,Drugs/AIDS . Tuache hili la HIV/AIDS, imetosha .
SIKUWAHI KUKUTANA NA THREADS KAMA HIZI HAPA JF.DUUH DECEPTION KAMA SIASA UMEIPIGA KWELI KWELI ASEE.ILA UMEFELI KULINK HIV NA MADAKTARI AMA HIV NA POLITICIANS. TUNAPOSEMA HIV NI AGENT DAKTARI ANA UELEWE MDOGO SANA KUHUSU HILI MBALI NA WANASIASA ULIOWATAJA. AS A MICROBIOLOGIST NAISHIA HAPA ILA NI UJINGA KUDHANI DAKTARI ANAJUA VIMELEA VYA MAGONJWA. HAYA DENGUE FEVER NA YENYEWE NI KIRUSI VIPI WANASEMAJE AU HILI LA KWELI NA ZIKA NA CHIKUNGUNYA OOH EBOLA JE?. ILA MM NAPENDA SABB TZ SIASA MBELE UTAALAMU NYUMA EEEH KWAN NN ACHA TUFE.HAHAAA
hapo mwishoni ni kama sijakuelewa vile
Hata mukieleweshwa huwa hamuamini,siku napitia Uzi WA Deception, since that day nikawa mfuatiliaji mzuri Sana WA mambo!
Suala la Ukimwi kuwa huambukizwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu mwingne ni uongo sio kweli!
Upungufu WA kinga zako hauwez ukaniambukiza Mimi,huo ni WA kwako Tu!
Hili suala ni kama ipi iwe lugha rasmi kufundishia shuleni?kingereza au Kiswahili?
Automatic wanaotetea Kiswahili huwa wanashinda lakin kamwe kingereza hakitoachwa kuwa means of instruction shuleni!!!
hapo mwishoni ni kama sijakuelewa vile