Kumbe siku hivi mnapewa laki tano.!?
Nimecheka kwa sautyDay 1
Kubeti- 1000
Chai- 1500
launch - 2000
Maji- 1000
Dinar- 2500
Maji- 1000
Total 10000Tzs
10000*30 =300000TZS , Only Per month
Other expenses
- Copy
- kuhonga
- Nauli
- Michango
Kuwa na subra kijana ni kawaida sana
Nimecheka mno,bumu linaisha wiki mojaSasa hivi siyo boom bali mkopo. Enzi zetu boom shilingi 3,000. Unakwenda pale kwa Mama Nguruwe unatwanga bia zako ndani ya wiki moja zimekwisha. Baada ya hapo ndo unaanza kufuatilia masomo vizuri. Hakuna wasiwasi kuhusu chakula wala malazi hadi semester inakwisha unasubiri tena boom nyingine.
Kweli yan mm mwenyewe nmepanga mwaka jana nilisevu laki saba,, japo zkaliwa na uncle na mwaka huu nmesavu laki tano mpaka sasa na kunajamaaa angu yeye yupo udsm mpaka sasa kanunua ng'ombe wanne wapo home.Boom in mipango tu!! Mfano mimi nipo mwaia Wa 2 ila kwenye akaunti yangu bado inasoma 460k. Na nimepanga nje sio kukaa hostel. Ukielewa maisha unayotaka kuishi mbona boom linabakiza chenji kabsa....
Kila siku movie mlimani city, shopping aura mall then lunch marry brown halafu unataka pesa za boom zisiwe na majini????
Sio kweli labda uamue tu me nishajiwekea tangu mwaka wa kwanza, simu hutumia 1500 kwa week na kwa mwezi ni 6000 na bado naweka akiba ya baadayeNahisi simu inawamalizia sana hela yenu.
Imekuwa aje mjomba kala pesa zako. Kuwa mwangalifu!Kweli yan mm mwenyewe nmepanga mwaka jana nilisevu laki saba,, japo zkaliwa na uncle na mwaka huu nmesavu laki tano mpaka sasa na kunajamaaa angu yeye yupo udsm mpaka sasa kanunua ng'ombe wanne wapo home.
Kwaiyo me naona huwa ni mipango na matumiz ya mtu huska tu,,,, lakn mpaka apo sjawah enda club, wala kuwa na demu apa chuon,,, make ndio vitu hukamua sana hela kwa wajuvi wanadai ivyo




Mkuu pesa ya boom ni miezi miwili miwili hiyo laki 5 ni kwa miezi miwili sawa na 250k kwa mweziKumbe mnapewa laki tano wenzenu tulikuwa tunapewa laki na nusu ila tuliweza kusoma na kumaliza.
Kijana ukitaka kula cafeteria utalia sana...elfu nane mwenzio ndo take hom na familia anatunza..subiri ufike mtaaniBodi wanatoa 8500 kwa siku wastani 255000 kwa mwezi.
Hii pesa wakuu ni ndogo unless uwe unapewa back up na wazee home
Unaweza kuwa huendi club wala matumizi ya ajabu ajabu lakini elfu nane ni pesa inaishia kwenye kula tu
Bado najiuliza wanaoweza kutumia less than 8500 kwa siku ikabaki ya kufanya saving wanatumia mbinu gani?
Babu niko mtaani tayari nishasahau habari za boom nashukuru limeniokoa lakini back then lakini kama kuna mtu anasave kwenye 8500 kwa maisha ya sehemu kama Dar hongera zake..Mimi nilishindwaKijana ukitaka kula cafeteria utalia sana...elfu nane mwenzio ndo take hom na familia anatunza..subiri ufike mtaani
mimi natumia elfu3 juma tatu mpaka alhamisi baada ya hapo ni elfu mbili tu kwa sikuBodi wanatoa 8500 kwa siku wastani 255000 kwa mwezi.
Hii pesa wakuu ni ndogo unless uwe unapewa back up na wazee home
Unaweza kuwa huendi club wala matumizi ya ajabu ajabu lakini elfu nane ni pesa inaishia kwenye kula tu
Bado najiuliza wanaoweza kutumia less than 8500 kwa siku ikabaki ya kufanya saving wanatumia mbinu gani?
buku 2 unaishi nayo vipi? nipe mchanganuomimi natumia elfu3 juma tatu mpaka alhamisi baada ya hapo ni elfu mbili tu kwa siku