Moja ya maazimio ya kamati iliyochunguza tuhuma za katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini(Jairo), ilikuwa ni kutazama upya muundo wa wizara. Point iko hivi,katika hizi wizara,yakupasa uelewe chain of command haiko kama unavyofikiria,kuwa waziri ndie incharge wa maamuzi yote ya wizara,la...