OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Huyu Rais ana matatizo.
hana matatizo tu yeye ila yeye mwenyewe ni tatizo!!
Huyu Rais ana matatizo.
Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.
Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.
Nataka kutapika!!!!!
Marksman,
Sipendi kuamini Rais Kikwete anaweza kufanya mambo ya hovyo kiasi hicho.Tafadhali tumpatie Rais wetu heshima anayostahili na ikiwezekana tumsaidie amalize awamu yake salama mambo ya kumzushia kwamba atakutana na wazee wa Dar ni siasa za maji taka.
Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.
Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.
Nataka kutapika!!!!!
Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.
Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.
Nataka kutapika!!!!!
Mkuu umefunguka!Hakuna udhaifu mkubwa kwa kiongozi kama kuruhusu wapiga kelele kukuyumbisha, Kosa kubwa la JK ni kumteua PINDA ambaye hana misimamo ni weak sana yaani anaboa ningekuwa JK ningemfukuza na kumuomba astaaf hadi ubunge.
Anaboa sana PINDA.
Pinda ndio chanzo cha matatizo serikalini. Hivi hakuna wanajeshi bungeni wapewe hii nafasi!
baada ya kikwete (kupitia pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, mkuu huyo wa kaya atakutana na wazee wa mkoa wa dar es sakaam siku ya j'nne ukumbi wa diamond kuwashitaki wabunge wachache wa ccm wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.
Mwenyekiti wa wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- iddi simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi jk ukumbini pale.
Nataka kutapika!!!!!
Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.
Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.
Nataka kutapika!!!!!
Huyu Rais ana matatizo.
hana matatizo tu yeye ila yeye mwenyewe ni tatizo!!
Huyu jamaa kama atafanya hivyo nitaamini hamnazo