NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Mzee Mtei amedhihirisha kuwa yeye siyo mnafiki. Akiona cheupe anasema hiki ni cheupe. Hamung'unyi maneno. Nchi hii ina wanafiki wengi kuliko wasio wanafiki. Wanamlaumu Mtei lakini mioyoni mwao wanasutwa na nafsi zao. Ptuuuu!!!