Sasa CCM itafute meli na treni, ili kujibu mapigo, na wampatie Yule wa mtera
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimempatia aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, helikopta na vifaa vingine kuzunguka nchi nzima kuhamasisha wananchi kukiunga mkono chama hicho, wakati huu ambapo anasubiri maamuzi ya Mahakama ya Rufaa kuhusu kuenguliwa ubunge wake.
Hayo yalisemwa jana na Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe, alipokuwa akihutubia umati wa watu uliofurika katika uwanja wa Barafu Dodoma jana.
Ninajua mna hamu ya kusikia kuhusiana na mbunge wenu Lema, (wananchi wanaitikia ndiyo), tumempatia kazi maalum kwa kumpa helikopta, muziki mkubwa na matarumbeta, alisema.
Anakwenda kuamsha ari ya mageuzi nchini, hakuna kulala hadi kieleweke. Wangejua ni balaa kwa hili walilolifanya wangemuacha bungeni, aliongeza Mbowe huku akishangiliwa na umati wa watu.
Gazeti la Nipashe.
Mbona baada ya kusikia Lema atazunguka nchi nzima vibaraka wa CCM mmekuja kwa kasi kubwa? Hofu yenu ni nini kama jambo hilo halina manufaa kwa CDM? Kwa taarifa yenu uamuzi huu wa Lema kuzuru nchi nzima ni jeraha kubwa kwa CCM.Kama hamuamini subirini muoneUmeingia choo cha kike; CDM siri zao anazo Mheshimiwa Lusinde!!! Ama wewe ni mfuasi wa Waziri Mkuu wa Uingereza??
Pole mkuu...sidhani kama kuongea ukweli ni roho mbaya!!Mkuu cjawahi kuona mtu roho ngumu na mbaya kama yako toka nizaliwe '86!una roho mbaya kama Mkapa,
Ngoja aanze kazi ndo tutajua ana mvuto Tanzania au hana., Maneno yako ni invalid kwa sasa.Tuwe wakweli hivi Lema ana Influence gani kwenye siasa za Tanzania?
Siasa za Lema ni sehemu za kaskazini maeneo ya Arusha, Kilimanjaro.
Kukaaleki RAJEO akili yako imevia/dumaa kama kidevu chako!!!! unaposema kilaza unamaanisha nini??. watanzania hatuhitaji viongozi lege lege waliopambwa na doctorate za heshima lakini wanasaini mikataba bila kuisoma wanawaangalia wezi wa mali za umma bila kuwakemea.Atakuwa mgombea mwenza wa pili kwa ukilaza katika historia ya Tanzania. Wakwanza alikuwa yule wa CDM wa 2010!!
Uamuzi mbovu, matumizi mabaya ya rasilimali. Mbaya zaidi kazi anapewa kilaza asiyekwena shule aifanye.
Kwa mwendo huu, hivi mkiona chama kinaporomoka au kufa mtashangaa??
Huwezi kujenga chama kwa Chopa ni matumizi mabaya ya pesa kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya chama hakina ofisi mikoani hata makao makuu hali sio nzuri...mnawachangisha pesa wananchi halafu mnamkodishia Lema Chopa.
Tuwe wakweli hivi Lema ana Influence gani kwenye siasa za Tanzania?
Siasa za Lema ni sehemu za kaskazini maeneo ya Arusha, Kilimanjaro.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimempatia aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, helikopta na vifaa vingine kuzunguka nchi nzima kuhamasisha wananchi kukiunga mkono chama hicho, wakati huu ambapo anasubiri maamuzi ya Mahakama ya Rufaa kuhusu kuenguliwa ubunge wake.
Hayo yalisemwa jana na Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe, alipokuwa akihutubia umati wa watu uliofurika katika uwanja wa Barafu Dodoma jana.
Ninajua mna hamu ya kusikia kuhusiana na mbunge wenu Lema, (wananchi wanaitikia ndiyo), tumempatia kazi maalum kwa kumpa helikopta, muziki mkubwa na matarumbeta, alisema.
Anakwenda kuamsha ari ya mageuzi nchini, hakuna kulala hadi kieleweke. Wangejua ni balaa kwa hili walilolifanya wangemuacha bungeni, aliongeza Mbowe huku akishangiliwa na umati wa watu.
Gazeti la Nipashe.
Mkuu kwenye CDM usizungumzie swala la shule,sio muhimu maadam unatokea kaskazini, na pili kama uko dini rasmi ya chama,elimu sio tatizo. Unataka Lema ashawishike kwenda shule aige mfano wa nani,kama viongozi wake ni hawa: Mbowe, Slaa, Mnyika..
Hivi Lema ana mvuto gani mkuu labda ungeniambia John Mnyika, Zitto Kabwe.
Ajitahidi kupita kwenye ile mikoa migumu migumu tu! Kama Dodoma na maeneo mengine kama haya.Mpaka kieleweke.
kaka hii nimeipenda,kweli haya magamba yakiona hewa imechafuka,wanaweza kuja na mkakati huu!!Sasa hivi utamskia msemaji wa jeshi la polisi au JWTZ anasema chopa za vyama vya siasa marufuku. Zinaziba rada yao kipindi hiki wanapomulika Al-shaabab!
Huwezi kujenga chama kwa Chopa ni matumizi mabaya ya pesa kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya chama hakina ofisi mikoani hata makao makuu hali sio nzuri...mnawachangisha pesa wananchi halafu mnamkodishia Lema Chopa.
Tuwe wakweli hivi Lema ana Influence gani kwenye siasa za Tanzania?
Siasa za Lema ni sehemu za kaskazini maeneo ya Arusha, Kilimanjaro.