Wanabodi habari za siku nyingi?
Zililetwa 'nyaraka' humu kuhusu sakata la ujenzi wa gati ya 13 na 14 bandarini,lakini ukweli ni kuwa waliozileta wamekuwa 'selective', kwa kuchagua zile tu ambazo zitamu-implicate Waziri mzalendo Nundu na kwa mtiririko ambao unaleta picha wanayoitaka iaminike. Kwa sababu hiyo nimepata msukumo wa kuzisaka na kuzipitia nyaraka halisi. Ntaziweka baadhi hapa. Kwa leo nawamegeeni taarifa aliyoisoma waziri kwa kamati ya Miundombinu, chini ya Mh. Serukamba. Kamati iliamua ku-ignore repoti hii na kuwasilisha bungeni namna wanavyotaka wao.
Pia, kwa vile walioleta nyaraka, wameleta '1st draft' ya MoU ambayo inaonekana wazi wazi kuwa HAIJASAINIWA, nimeona pia niwawekeeni MoU halisi, final draft, ILIYOSAINIWA na katibu mkuu wa wizara ya Uchukuzi. Kama alivyotamka waziri, hakuna miaka 45 wala kupewa ardhi wala madudu mengine yaliyomo katika 'draft' iliyowekwa. Mind you, MoU sio hii moja tu, ziko pia with other potential wadau wa maendeleo, lakini bado inabidi washindanishwe ili kumpata the most competent na kupata value for money for the country.
Mkishasoma mtaamua wenyewe.
Zililetwa 'nyaraka' humu kuhusu sakata la ujenzi wa gati ya 13 na 14 bandarini,lakini ukweli ni kuwa waliozileta wamekuwa 'selective', kwa kuchagua zile tu ambazo zitamu-implicate Waziri mzalendo Nundu na kwa mtiririko ambao unaleta picha wanayoitaka iaminike. Kwa sababu hiyo nimepata msukumo wa kuzisaka na kuzipitia nyaraka halisi. Ntaziweka baadhi hapa. Kwa leo nawamegeeni taarifa aliyoisoma waziri kwa kamati ya Miundombinu, chini ya Mh. Serukamba. Kamati iliamua ku-ignore repoti hii na kuwasilisha bungeni namna wanavyotaka wao.
Pia, kwa vile walioleta nyaraka, wameleta '1st draft' ya MoU ambayo inaonekana wazi wazi kuwa HAIJASAINIWA, nimeona pia niwawekeeni MoU halisi, final draft, ILIYOSAINIWA na katibu mkuu wa wizara ya Uchukuzi. Kama alivyotamka waziri, hakuna miaka 45 wala kupewa ardhi wala madudu mengine yaliyomo katika 'draft' iliyowekwa. Mind you, MoU sio hii moja tu, ziko pia with other potential wadau wa maendeleo, lakini bado inabidi washindanishwe ili kumpata the most competent na kupata value for money for the country.
Mkishasoma mtaamua wenyewe.