Hapo hapo kuna wenzio walikua mamilionea kupitia hiyo hiyo Crdb trust me... Kweny hisa inabid uwe sharp and information is a very powerful tool..Kama ambavyo watu watapiga hela kweny Voda wengine wakibaki wanatoa macho..but I would tell you..bado hujapoteza kitu kweny crdb..kitu cha msingi...
Ata akizingua awez mtumbua kirahisi mpaka Mda wake uishe..CAG is appointed by president ila kuondolewa Adi Mda wake uishe..otherwise majaji Wa 3 Wa common wealth wakae na kujiridhisha..from katiba..correct me if am wrong
Hapo ni 50-50 Mkuu...uwezekano ni yako au si yako...kuna wakati mizunguko ya kinadada hubadilika..e.g. Kama aliugua ,stress au akitumia contraceptives..kama anauakika ni yako basi lea tu..after 9 months you will find out
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.