Moshi umepitwa na miji yote ya mikoa Tanzania sasa linganisha Moshi na Kahama, Makambako, Chalinze, Karatu, Mwanga, Same vile.
Moshi pa kawaida.. Panashindwa na kigoma..
Moshi pa kawaida.. Panashindwa na kigoma..
Kigoma nayo ni mji au kijiji kilechoendelea hakuna hata Barbara za lami za kueleweka we jamaa unachekesha sana...Moshi pa kawaida.. Panashindwa na kigoma..
Hayupo iringa huyu ndugu,asingethubutu ata kupost hizo pcha za mwaka47Sasa mkuu upo Iringa halafu unaokota picha za google za miaka ya 2005,
Piga mapicha utume boss au huna camera?
Nipo Iringa mjini, naona huu mji unakuwa kwa kasi, mara ya mwisho nilikuja hapa 2016, kwa miaka 3 tu!! Naona mabadiliko sana.
Miji ya kusini inaendelea sana.
Kwa Wadau wazoefu.
Ukilinganisha huu mji wa Iringa na Mji wa Moshi, wapi panakua zaidi? Katika nyanja za majengo mazuri na barabara nzuri!!
Picha za Iringa zitafuata....
Upo iringa sawa mkuu, je umeshawahi kutembelea moshi? Tukiacha ushabiki moshi mji wa sasa sio kama ule wa zamani,mara ya mwisho kupita moshi ilikua lini mkuu, mimi nipo Arusha nijirani mkoa huo, na pia nimeshautembelea iringa mara nyingi sana, nimeenda na mbeya labda ufananishe iringa na mbeya
mkuu leta evidence sio maneno tu, Iringa imeiacha mbali sana MoshiUpo iringa sawa mkuu, je umeshawahi kutembelea moshi? Tukiacha ushabiki moshi mji wa sasa sio kama ule wa zamani,mara ya mwisho kupita moshi ilikua lini mkuu, mimi nipo Arusha nijirani mkoa huo, na pia nimeshautembelea iringa mara nyingi sana, nimeenda na mbeya labda ufananishe iringa na mbeya
Moshi inakuwa Jiji soon mjue hilo hivyo msilinganishe Mji wa moshi na vitu kama iringa au dodoma!
Mbona wewe huleti ushahidi kwahiyo unaniiga ama....lete vitu ambavyo iringa inaishinda moshi....moshi majumba yaliyojengwa vijijini ni majumba ya kifahari,wachaga wanakupenda kwao, hivi iringa kweli ni ya kuifananisha na moshimkuu leta evidence sio maneno tu, Iringa imeiacha mbali sana Moshi
Iringa ukifika pale sokoni hata njia za kutoka na kuingia hazijulikani....vibao vya kuelekeza maderva vilishaanguka chini halafu bado unakuja na hoja mji wa iringa ni bora zaidi ya moshi....mkuu leta evidence sio maneno tu, Iringa imeiacha mbali sana Moshi
Muwe wa wazi msionge japo kufurahisha genge, hivi moshi ya sahivi unaisikia kuanzia usafi,mpangilio wa majengo,barabara mpaka vijijini umeme umefika kila mahala,maji ndiyo usiseme imevunja rekodi ya duniaUsifananishe Iringa na magofu ya kale kama Moshi
Punguza hasira MwagitoKaribu sana iringa mkuu ,acha kutupia picha za zamani..
Hapo sheli kwa sasa hapapo ivyo ni pazuri sana na magorofa yameongezeka..
Acha kutudhalilisha ntakuja nikudunde sasahivi ohoo