Madereva pitieni hapa kuepuka fine za overspeed na speed camera

Kwa bongo ha apply kabisa...labdda ungesema izo speed torch za trafic nazo wawe wanatumia gps...road zetu nyngng hazijakua updated na details zote pili trafic bongo hawaeleweki unaeza amka asubuhi ikakuta ametesha tochi getini kwako hawana sehemu maalum...kama mtu anapanda juu ya mti sasa hiyo software itamuonaje?
Ziko kwenye GPS ndiyo maana wanaweza kupiga picha na kuzituma kwa mtu mwingine
 
Imetulia safi sana tutapumua sasa... Maana jambo huzimwa kwa jambo..!

Bwihi..! Bwihi..!
 
Umbea tu huo km huna hoja bora unyamaze tu.
mkuu utakuwa traffic wewe. Umbea gani akati ndio uhalisia. Kunasehemu ilikuwa poa sana na tulikuwa tunapigwa faini daily. Kumbe kulikuwa hakuna kibao. Vikawekwa vibao bhana. Within one month vyote viko chini na jamaa washarudi. Yaani mtu inapigwa faini ya 50kph sehemu uloyo rihusiwa 80 kph
 
Wakuu,

Msimu huu wa sikukuu nimeona baadhi ya madereva wakilalamika sana kuhusu kulipa fine barabarani kwa kuzidisha mwendo.

Kufuata sheria za barabarani ni jambo la kwanza, ila kuna matrafic wengine wanakera kweli kweli.

Download hii app hapa chini kwenye simu yako, itakujulisha uwepo wa speed kamera nusu kilometa kabla hujaifikia. Utaepuka fine kirahisi.

Nice holidays

Speed Cameras & Traffic Sygic - Android Apps on Google Play
Wewe utakuwa shabiki wa man u au arsenal au simba. Hizi sio akili za binadam.

Serikali inakusaidia ufike salama, wewe unaona ni upuuzi?
 
Wakuu,

Msimu huu wa sikukuu nimeona baadhi ya madereva wakilalamika sana kuhusu kulipa fine barabarani kwa kuzidisha mwendo.

Kufuata sheria za barabarani ni jambo la kwanza, ila kuna matrafic wengine wanakera kweli kweli.

Download hii app hapa chini kwenye simu yako, itakujulisha uwepo wa speed kamera nusu kilometa kabla hujaifikia. Utaepuka fine kirahisi.

Nice holidays

Speed Cameras & Traffic Sygic - Android Apps on Google Play
Barikiwa kaka jioni ntakucheki upate bapa moja la lukeselo baridi sana
 
Go setting ina mpaka recording
Nimeiwasha jana wakat natoka Mbagala kuja Tabata. Aisee kila sehem ambapo iliwahi kuwekwa Torch hata kama ni zamani, hii inadetect. Lakini hii ya kwangu mbona inaonyesha 60kph muda wote? Nimekosea settings?

Lakini wakat unaendeaha highway, simu utakua umeiweka wapi ili uwez kuangalia, au gari lako liwe na GPS?

yote kwa yote inasaidia kutoa alert ili dereva apunguze mwendo
 
Sasa hizo tochi mbona zina kamata umbali mkubwa zaidi ya hii app. Kama sijakosea hizo tochi zina uwezo wa kuditect umbali hadi kilometa nne.
 
Nimeiwasha jana wakat natoka Mbagala kuja Tabata. Aisee kila sehem ambapo iliwahi kuwekwa Torch hata kama ni zamani, hii inadetect. Lakini hii ya kwangu mbona inaonyesha 60kph muda wote? Nimekosea settings?

Lakini wakat unaendeaha highway, simu utakua umeiweka wapi ili uwez kuangalia, au gari lako liwe na GPS?

yote kwa yote inasaidia kutoa alert ili dereva apunguze mwendo
f43012600995def3856a5bd015134823.jpg
kuna hizi holder za simu kwenye magari huku kwetu sio maarufu sana
 
Nimepakua ipo poa sana hapa nilipo inanionyesha kuna jumla ya camera 3 hapa nipo morogoro kuna camera kabla ya kufka moro kutoka dar nyingne ipo kuelekeaa mbeya kutoka moro nyngne kuelekea dom
 
Nimepakua ipo poa sana hapa nilipo inanionyesha kuna jumla ya camera 3 hapa nipo morogoro kuna camera kabla ya kufka moro kutoka dar nyingne ipo kuelekeaa mbeya kutoka moro nyngne kuelekea dom
Hapo unaangalia ipi iko active! Inakuonyesha, angalia dakika za hiyo camera! Hao jamaa wanamove
 
Back
Top Bottom