Ziko kwenye GPS ndiyo maana wanaweza kupiga picha na kuzituma kwa mtu mwingineKwa bongo ha apply kabisa...labdda ungesema izo speed torch za trafic nazo wawe wanatumia gps...road zetu nyngng hazijakua updated na details zote pili trafic bongo hawaeleweki unaeza amka asubuhi ikakuta ametesha tochi getini kwako hawana sehemu maalum...kama mtu anapanda juu ya mti sasa hiyo software itamuonaje?