Recent content by SuperNatura

  1. SuperNatura

    Death and immortality; Is there life after death?

    We umejuaje? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. SuperNatura

    Hospitali ya Massana sijapenda hii tabia. Ni mara ya tatu maabara mnafanya haya...

    Acha kujisumbua broo.... Hayo malalamiko yangekuwa yanasikilizwa kila mtu angekuwa anatoa anayoyaona. We unasema hayo!!! Njoo kwenye usafiri wa MWENDOKASI uone walemavu wanavyoahirisha safari, wajawazito wanavyonusurika kujifungua, wazee wanavyotamani kufa, wanafunzi na wafanyakazi wanavyotamani...
  3. SuperNatura

    Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

    We ndo hueleweki kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. SuperNatura

    Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

    Mtoa mada huna point za msingi, Mungu atatengenezaje chenye nguvu zaidi yake wakati ye ndo mwenye nguvu kuliko vyote. Labda atengeneze chenye nguvu sawa na yeye Sent using Jamii Forums mobile app
  5. SuperNatura

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Daaah! "RICH DAD-POOR DAD" by Robert Kiyosaki ni noma Sent using Jamii Forums mobile app
  6. SuperNatura

    Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

    Habari wana JF, kwa mwenye uelewa kuhusu BERMUDA TRIANGLE naomba aninyunyizie na mimi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. SuperNatura

    Je, Binadamu ameshaenda umbali upi chini ya ardhi?

    Dunia ni tufe, wakiichimba mojamoja kwa moja kwenda chini wanatokezea upande wa pili(Either EAST-WEST or SOUTH-NORTH) hapo linatokea tundu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. SuperNatura

    Je, Binadamu ameshaenda umbali upi chini ya ardhi?

    Ulikuwa unachimba choo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. SuperNatura

    Magereza Uholanzi zinafungwa kwa kukosa wafungwa

    Kwao hawakamati wavuta bangi nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. SuperNatura

    Tetesi: Ni Jambo la Kusikitisha - ‘Azimio la Dodoma’ Kumbe ni Maelekezo

    Wa nini sasa? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. SuperNatura

    Tetesi: Ni Jambo la Kusikitisha - ‘Azimio la Dodoma’ Kumbe ni Maelekezo

    "Dom" ndo nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. SuperNatura

    Is it true that ATLC has no passengers to carry and has assorted to transporting meat?

    Ndomana sitegemei mazuri yoyote licha ya kuwa nchi ina miradi mingi. Bora hizo hela wangetuachia wananchi tuishi nazo tu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. SuperNatura

    Najua wengi hatumpendi Rais Magufuli ila tunayaonaje haya?

    Bongo ni Bongo tu, hakuna aliyetegemea kwenye Mwendokasi tungepata tabu kama tunayoipata. So, nakushauri usijipandishe EMOTION kwa kudhani hiyo miradi itakuwa bora kama unavyodhani. Kwa anayekumbuka mabasi ya Mwendokasi yalianza vizuri sana ila angalia kinachotokea sasa......kama hawaoni vile...
  14. SuperNatura

    Kwanini hospitali ya Mloganzila gharama zake zipo juu sana?

    Na siyo gharama tu. Waulizeni waliowahi kupelekewa wagonjwa wao hospitali ile wawaambie makubwa zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  15. SuperNatura

    Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

    We kwenye dunia hii unapoteza muda tu. Dunia haitaki watu kama wewe Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom