Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
We ndio humpendi mi nampenda
God first
God first
atapendwaje na mafisadi na hao anaowatumbua...unauliza majibu mzee..acha ujinga bana..hata wewe ukiwa mmoja wa waathirika ungempenda....?Sasa Mbona hapendwi??
una haraka gani...subiri uone maajabu ambayo hatuyategemei kutokea lakini awamu hii yanatokea...kweli Magufuli ni chaguo la MunguKwa umeme upi tulionao!?
Ndege tu wakipandana na kutikisa nyaya kwenye nguzo umeme unakatika wiki 2 sembuse izo tren!?
Yang macho
Sent using Jamii Forums mobile app
akili zimekuruka nini..hahaha hivi unajua hata bajeti ya madawa kwa sasa ni bilion ngapi ukilinganisha na bajeti ya awamu zilizopita...?tatizo lenu mnataka mtafuniwe kila kitu wajameniHuyu mtu hadi anaondoka madarakani watu wengi watakuwa wamekufa kwa kukosa huduma bora huko mahospitalini kuliko kipindi chochote tangu nchi ipate uhuru
Reli ya TAZARA ilifunguliwa mwaka 1975 nahisi hata wazazi wako walikuwa wameshazaliwa
Naomba unipe maana ya Hospital coz kutokana na maelezo yako ambayo ume define Hospital ni Muhimbili & Mloganzila tuu then i guess wengi hatujui.. Maana mi bado najiuliza zile za Amana, Temeke, Sinza ni zahanati au ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Zilitakiwa kufanana na za ulaya hivi ama sio?Ma-architect au wabunifu wa majengo na madaktari wanasema hizo unazita hosipitalni vituo vya afya ( health centres).
Dogo we bado sana katika ulimwengu wa wajuvi wa mambo
NAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:
1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.
Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.
Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.
2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..
HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.
Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
So inatuhusu nini???NAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:
1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.
Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.
Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.
2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..
HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.
Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
una haraka gani...subiri uone maajabu ambayo hatuyategemei kutokea lakini awamu hii yanatokea...kweli Magufuli ni chaguo la Mungu
una haraka gani...subiri uone maajabu ambayo hatuyategemei kutokea lakini awamu hii yanatokea...kweli Magufuli ni chaguo la Mungu
Sawa junior paid trollNAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:
1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.
Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.
Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.
2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..
HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.
Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona njaa imekupanda kichwaniNAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:
1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.
Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.
Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.
2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..
HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.
Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikurupuko hiyo ndiyo imetufikisha hapa tulipo kama yanayo tokea bungeniJiwe yupo vizuri ila ana mapungufu machache kama ubabe na kukurupuka mwisho kabisa anambeba bichwa maji aka
Mkwepa kodi DAB
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Usitaje bure jina la Mungu wako.una haraka gani...subiri uone maajabu ambayo hatuyategemei kutokea lakini awamu hii yanatokea...kweli Magufuli ni chaguo la Mungu