Recent content by super black

  1. super black

    Hii ya Dkt. Chriss Mauki mnaionaje wakuu? Huyu si muharibifu wa ndoa za watu?

    Kimenuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  2. super black

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    KENYA YAKUMBWA NA MLIPUKO WA KIPINDUPINDU, 13 WAMEFARIKI DUNIA > Wakenya 13 wakiwemo watoto wenye umri chini ya miaka 10 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Kipindupindu > Serikali imesema visa 550 vya ugonjwa huo vimeripotiwa hadi sasa Soma Mwaka wa taabu ni wa taabu; Kipindupindu...
  3. super black

    Binti wa Kireno kaondoka na akili zangu kwenye foleni ya chakula cha bure Jijini Geneva (Switzerland)

    Huyo mrembo namfahamu wanafanya kazi pamoja na MIA KHALIFA kakudanganya mkuuu
  4. super black

    Apple: sitokuja kumwamini mwanamke tena

    Ko tu sabuskraibu au Sent using Jamii Forums mobile app
  5. super black

    Anasema anajuta, nimsamehe

    Mwaka Jana mwezi 12 nilikutana na Dada mmoja katika moja ya mitandao ya kijamii na tukaanzisha mahusiano Mimi Niko mkoani yeye yuko dar es salaam. Mwaka huu mwezi wa pili nilionana na huyu Dada jijini Dar baada ya kwenda mishemishe kwa muda wa mwezi mmoja. Kipindi nawasiliana na huyu bidada...
  6. super black

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Nashangaa Uzi wrote sijaona watu wa Eden
  7. super black

    Ilaaniwe siku niliyozaliwa

    Bonge la story
  8. super black

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Kama kichwa cha thread kilivo ningependa kupata mawazo ya biashara ya kufanya kwa mtaji wa laki 3-laki 4 kwa jiji la dar es salaam hasa kwa maeneo ya mbagala ingawa ata kwa maeneo mengine itapendeza pia. Natanguliza shukrani
  9. super black

    Jifunze lugha ya kichina - Darasa huru

    Kiungo cha mwanamke kichina unatamkaje????nataka kukwepa moderators maana kuna watu wanaboa sana umu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. super black

    Hii ni aina gani ya nyoka?

    Nyoka wa kibisa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. super black

    Tujenge Tabia ya kujitazama kwenye vioo

    [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. super black

    Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

    Atakua anamfukuzia mo huyu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom