Tmainitvp
Member
- Mar 25, 2019
- 64
- 119
APPLE-01
NA
Tumain Ernest Stanslaus
Test van pream(Tvp)
Phone;0684024387
‘’Narudia tena, siwezi kumuamini mwanamke yeyote hapa duniani hata siku
moja , labda mama yang utu ambaye kidogo nayeye tumefanana macho”.
Kutokana na kumpenda sana mke wangu, nlitokea kumjali sana na
kumthamini vibaya mno. Ingawa niliwahi kuoa lakin haikuwa kigezo cha
kutompenda mke wangu. Kila nilipo kuwa nikitoka kazini , nilikuwa najitahidi walau
kumpelekea mke wangu zawadi ndogondogo ambayo kwa namna moja au nyingine
ilimfurahisha na aliipenda. Ndoa yetu changa ilionekana kuwa na furaha muda
wote, ilikuwa kawaida ya mke wangu kunipokea kwa mabusu mfululizo pale
nilipokuwa nimetoka kwa muda iwe kazini au sehemu yoyote ile. Hilo lilinifanya
niongeze upendo kwa mke wangu kwani hakushindwa kunitimizia yote ambayo
mwanaume nilipaswa kutimiziwa, tulicheza michezo ya kila aina iwe ya kitoto au ya
kikubwa bila kuchagua sehemu, kuanzia kitandani, kwenye sofa, bafuni au hata
kwa jaccuzi la kuogea ilimradi tu wote tupate furaha. Na hapo moyo ukawa
umeridhia kuwa huyo ndiye chaguo langu sahihi la maisha.
Sikuzote sikupenda kula mbali na nyumbani, sababu tu nilikuwa na miss yale
majamboz ya mke wangu, hakuchoka kuanza kunilisha kwa madeko yote, tonge
nilimeza kwa busu zito kwanini kidume nisitambe. Na hata upande wa kuoga nimara chache sana kukuta nipo naoga pekeyangu. Na hilo nililipenda sana kwani kila
nikioga na mke wangu nilikuwa nafurahia sana kumwona kipenz changu alivyo
umbika, na kwel mtoto aliumbika na akaitikia, kila kiungo kilikaaa mahala pake, hali
iliyo nifanya mm kama mwanaume lijali kuomba kile nilicho sitahili kila njaa ilipo
nikaba. Kuna mda nilionyesha mapenzi Dhahiri kwa mke wangu, nikawa tofauti
kabisa na wanaume wa kileo, sikushindwa kumpikia mke wangu chakula, kufua
nguo zake za ndani na hata kuosha na kusafisha nyumba.
Jina lake halisi anaitwa Leila jonhson , mkazi wa jiji la mwanza, mwenyezi wa
maeneo ya NATA, mwanza mjini. Hivyo nilipo muoa tu nilimwamisha na kumpeleka
nje kidogo ya jiji tukawa tunaishi maenea ya USAGARA, kilometa chache kutoka
stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi.
***
MIEZI KADHAA BADAE
“baby ……..”
“yes darling…”
“wife, narudi nyumbani nikuletee nini….?”
“ooh waoooh, chochote baba watoto wangu”
“okay usihofu mke wangu… nakupenda mwaaaaa…..”
“ nakupenda pia……”
Siku hiyo nilimchukulia matunda madogo madogo pamoja na tunda laa apple,
tunda alotokea kulipenda sana, nika mchukulia kimfuko kidogo cha ubuyu, nilipo
piga hatua chache nikakutana na viatu vizuri nikamchukulia pamoja na nguo kadhaa
za ndani na nje kisha nikafungasha na kumpelekea, mwanamke matunzo bana.
Siku hiyo nilikuwa na hamu sana ya kumwona mke wangu, hivyo nilifanya
haraka kwa kuchukua taxi ili niwahi kufika, haikuwa mbali kutoka Mkolani sehemu
niliyokuwa nafanyia kazi hadi usagara nyumbani kwangu, mda mfupi nilikuwa ndani
ya gate baada ya kufunguliwa na mlinzi wangu wa nyumba, cha ajabu mpaka nafika
ndani nilikuwa nimegundua utofauti uliokuwepo siku hiyo na siku nyingine, ilikuwa
kawaida yangu kupokelewa lakini siku hiyo nilikuwa peke yangu mguu na njia hadi
kwenye sofa. Sikujari kwa sababu nilidhani labda mke wangu kanipangia bonge la
surprise, nikaamua kwenda moja kwa moja hadi chumbani kwangu , Mungu wangu
nilimkuta Leila amelala chali huku akiwa macho kabisa akinikodolea macho pale
nilipo ingia, sikujari , maana nilijua ni madeko tu ya mtoto wa kike, nikaamua
kumuwekea zawadi zake ndani ya kabati ili badae tukumalza tu kula nimpe, lakini
nikashangazwa na kitendo cha yeye kuniangalia tu kila nilicho kuwa nafanya.Mpaka navua nguo zangu alikuwa tu akiniangalia , wasiwasi ukanijaa kidogo,
hatakama ni surprise no, si yahivi, oooh, akili ikanijia labda anaumwa nika vuta
subira labda kuna kitu ataniambia, hivyo nikaungana nae kitandani na mimi
nipumzike kidogo kabla sijaelekea kuoga, kama kawaida yangu, nikapitisha mkono
wangu kiunoni mwa Leila , lakini ghafla bila kutegemea, nilishangaa kuona mkono
wangu ukitolewa na akanisindikiza kwa maneno nimwache amechoka, nikazidi
kushangaa , hata kama alikuwa amechoka Leila si wakunijibu namna ile nikapiga
moyo konde na kuvunja ukimya.
“wife, kunatatizo?”
“nimechoka niache..”
“jamani mke wangu kazi gani kubwa leo umefanya kuliko sikuzote”
“siku hazilingani”
“Leila mke wangu haya majibu yameanza lini, kama kuna tatizo si tuongee tu
kuliko kunifanyia ivi”
“kwani we maswali hayo umeanza lini”
“mmmh, sawa ‘ndoho tabhu’(hamna shida), maji yapo bafuni au yamekata”
“kwani siku zote unayakutaga wapi”
“bafuni mke wangu”
“sasa, kusumbuana kwa nini?”
“kwani kuulza kosa mke wangu”
“sio kosa, ila una taabu sana, nimekwambia nimechokanielewe”
“sawa nimekuelewa ila chakula kipo?’’
“huna mikono”
Hapo ndipo uzalendo ukanishinda nikanyanyuka ili walau nimchangamshe kwa
makofi ata mawili ila nikaona kumpiga mwanamke ni upuuzi na kuto jiamini,
nikaanza kuonja raha ya ndoa sasa, nikaamua kujishusha walau jue hata sababu
huenda nikawa na kosa
“hivi wife, nimekukosea nini mimi”
“aseee, shika hamsini zako nimechoka”
Safari hii aliamua kwenda kukaa sebureni na kanga yake moja laini, iliyo kuwa
imemchora mwilini mwake, huku ndani akiwa hajatupia chochote kile, na kwa
mwendo wake wa hasira nyuma akawa anatingisha tu matawi yake malaini, sasa
mtoto wa kiume si nika sisimka nilipo mtazama mke wangu, nikaona nisiteseke
wakati nina mke nimeoa tena mke halali, nikamfata huko sebuleni, huko sebuleni
nilimkuta amekaa ki-hasarahasara huku akiwa ameeacha paja lake zuri najeupe,lisilo kuwa na kovu wazi, nilipo fika nilikaa pembeni yake kisha nikaweka
mkono wangu juu ya paja lake lile laini na kuanza kilipapasapapasa, mara ghafla
akautoa mkono wangu kwa nguvu akidai nimuache amechoka, hali Fulani ya hasira
ikanikaba, kiukweli mke wangu alikuwa amebadilika tena ghafla , hali iliyo niumiza
sana moyo, tena kabadilika wakati mbaya wakati ambao bado nampenda kwa
moyo wangu wote, roho iliniuma sana tena sana, usisimuliwe, ogopa kupenda na
kama bado hujapenda baki ivoivo tu sikushauri nduguyangu na kama tayari usha
penda , pole kwa kuyapaparukia maisha, nilijikuta nakuwa mpweke sana, hamu ya
kufanya yale ya kwetu ilinijia lakini ningefanya na nani mwenzangu ndo kachoka,
niliumia sana , nikaanza kuwaza huenda ndoa zote zipo ivo lakini hapana, mbona
wengine kila kukicha nawaona wanapendana waziwazi inamaana ni ndoa yang utu,
kwanini mimi jamani.
“mke wangu basi kama umechoka, pole, twende tukaoge upunguze uchovu,
sawa mke wangu ,”
“sijisikii”
“basi sawa , namm sitaoga sijisikii pia”
“shida zako tu baba”
Hapa alinijibu huku akibinua midomo yake na kubana pua yake, aisee macho
yalianza kubadilika na kuwa mekundu, hii yote ni kwa sababu tu ya hasira ambazo
mke wangu alikuwa anazisababisha, mke nlie toka naye mbali sana kimaisha mpaka
tunafika hapa, mke ambae nilikabidhiwa na wazazi wake nimtunze kwa hali na mali
kutokana na kuwa mtoto wa kipekee wa mzee Jackson, mzee gaidi na katiri katika
mtaa mzima wa NATA jijini mwanza,
Niliamua kuachana naye kisha nikaingia bafuni ambako nilifikia kuoga na
kisha nikapitiliza hadi mezani walau nipate chakla lakini sikukuta chochote,
nikakumbuka hata ndio yeye aliye kata nisilete mfanyakazi wa ndani eti kisa yeye
ana wivu sana, potelea mbali nikaingia hadi chumbani ambako nilivaa kisha nikatoa
noti mbili za elfu tanotano na kutoka nje, huko nnilimuaga mlinzi kwamba mda
mfupi nitageuza nika pita hadi nyumba ya pili nikakutana na banda la chakula ,
niliomba kufungiwa chips kuku, kisha nikageuza hadi kwangu , njiani nikachuku
voucher na kiaanza kurudi kwangu.
Nilipitiliza hadi chumbani ambako nilimkuta kajilaza kifudifudi huku katoa ile
kanga yake na sasa alikuwa tupu kama alivyo zaliwa. Sikumjali nifika hadi sehemu
ambako kulikuwa na kiti kisha nika kaa na kutaka kuanza kula, lakini nikama
nilikuwa najisumbua tu, radha ya chakula haikuwepo kabisa hata ile hamu sikuisikia ila njaa nlikuwa nayo tena kubwa. Nikiwa katika kuhangaika hangaika na chakla
changu Leila alikuwa akijigeuza geuza , nikawa napeleka macho yangu
kumwangalia, kwel mtoto aliumbika , kila nilipon mwangalia mm kama mwanaume
lijali basi wajina wangu alisimama,weka na hipsi alizo kuwa nazo, jumlisha kalio lake
lilivyo kuwa limejichora alipokuwa amejilaza weeee, uzalendo ulinishinda nikaona
leo ni leo, kama ndoa tulisha funga mateso ya nini, nikajisogeza hadi kitandani
ambako nilivua nguo zangu nikabakiwa na kiji bukuta changu cha kulalian nikafikia
adi mgongoni mwa mke wangu Leila alie kuwa amelala, mwili ulisisimka vibaya
sana, cha ajabu siku hiyo nilikuwa na hamu kubwa sana, takribani wiki sasa nilikuwa
sijakutana nae kwa kuwa alikuwa kasika zile siku zao,
“unataka kufanyaje…?”
“nini?”
Nilihamaki maana ni swali ambalo sikuwahi ulizwa katika maisha yangu, maana
hata x wangu hakuwahi niulza swali kama lile kwa hali kamaile.
Hasira ilikuwa imenijaa,, asikusimulie mtu, hata wajila alikuwa ameshaanza
kulala zake mda huu maana hakuona raha ya mapenzi ten ahata angefanya kwa
siku hiyo asinge ridhika, mapenzi matamu ukipata mtu anaekupenda , kunamda
wakati wa nyuma nilipo kuwa nikikutana na Leila nilijihisi kiumbe wa pekee hapa
duniani, nilisha wahi kupaa mpaka mwezini, sioni wala sisikiii, chezea Leila wewe
akiwa katika ubora wake, kwanini nisimpende, lakini sasa tayari kesha anza
kubadilika, huenda kaanza kulijua jiji , jiji la mwanza jiji tamu kuliko kama ukilijua
mitaa na starehe zake, lenye kila aina ya wazu, wazungu kwa waarabu, waafrika na
makabila yake, wasukuma na wachaga kwanini watu wasisahau kama kuna Mungu.
Itaendelea………………………….
Other stories of the same author
Boyfriend
The last drop
Hisia za dhati
Rose and the king
Her neckless
I still love you
Vow
Love bites
Jemima hili ni jiji
Sarah mbona hukuniaga
NA
Tumain Ernest Stanslaus
Test van pream(Tvp)
Phone;0684024387
‘’Narudia tena, siwezi kumuamini mwanamke yeyote hapa duniani hata siku
moja , labda mama yang utu ambaye kidogo nayeye tumefanana macho”.
Kutokana na kumpenda sana mke wangu, nlitokea kumjali sana na
kumthamini vibaya mno. Ingawa niliwahi kuoa lakin haikuwa kigezo cha
kutompenda mke wangu. Kila nilipo kuwa nikitoka kazini , nilikuwa najitahidi walau
kumpelekea mke wangu zawadi ndogondogo ambayo kwa namna moja au nyingine
ilimfurahisha na aliipenda. Ndoa yetu changa ilionekana kuwa na furaha muda
wote, ilikuwa kawaida ya mke wangu kunipokea kwa mabusu mfululizo pale
nilipokuwa nimetoka kwa muda iwe kazini au sehemu yoyote ile. Hilo lilinifanya
niongeze upendo kwa mke wangu kwani hakushindwa kunitimizia yote ambayo
mwanaume nilipaswa kutimiziwa, tulicheza michezo ya kila aina iwe ya kitoto au ya
kikubwa bila kuchagua sehemu, kuanzia kitandani, kwenye sofa, bafuni au hata
kwa jaccuzi la kuogea ilimradi tu wote tupate furaha. Na hapo moyo ukawa
umeridhia kuwa huyo ndiye chaguo langu sahihi la maisha.
Sikuzote sikupenda kula mbali na nyumbani, sababu tu nilikuwa na miss yale
majamboz ya mke wangu, hakuchoka kuanza kunilisha kwa madeko yote, tonge
nilimeza kwa busu zito kwanini kidume nisitambe. Na hata upande wa kuoga nimara chache sana kukuta nipo naoga pekeyangu. Na hilo nililipenda sana kwani kila
nikioga na mke wangu nilikuwa nafurahia sana kumwona kipenz changu alivyo
umbika, na kwel mtoto aliumbika na akaitikia, kila kiungo kilikaaa mahala pake, hali
iliyo nifanya mm kama mwanaume lijali kuomba kile nilicho sitahili kila njaa ilipo
nikaba. Kuna mda nilionyesha mapenzi Dhahiri kwa mke wangu, nikawa tofauti
kabisa na wanaume wa kileo, sikushindwa kumpikia mke wangu chakula, kufua
nguo zake za ndani na hata kuosha na kusafisha nyumba.
Jina lake halisi anaitwa Leila jonhson , mkazi wa jiji la mwanza, mwenyezi wa
maeneo ya NATA, mwanza mjini. Hivyo nilipo muoa tu nilimwamisha na kumpeleka
nje kidogo ya jiji tukawa tunaishi maenea ya USAGARA, kilometa chache kutoka
stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi.
***
MIEZI KADHAA BADAE
“baby ……..”
“yes darling…”
“wife, narudi nyumbani nikuletee nini….?”
“ooh waoooh, chochote baba watoto wangu”
“okay usihofu mke wangu… nakupenda mwaaaaa…..”
“ nakupenda pia……”
Siku hiyo nilimchukulia matunda madogo madogo pamoja na tunda laa apple,
tunda alotokea kulipenda sana, nika mchukulia kimfuko kidogo cha ubuyu, nilipo
piga hatua chache nikakutana na viatu vizuri nikamchukulia pamoja na nguo kadhaa
za ndani na nje kisha nikafungasha na kumpelekea, mwanamke matunzo bana.
Siku hiyo nilikuwa na hamu sana ya kumwona mke wangu, hivyo nilifanya
haraka kwa kuchukua taxi ili niwahi kufika, haikuwa mbali kutoka Mkolani sehemu
niliyokuwa nafanyia kazi hadi usagara nyumbani kwangu, mda mfupi nilikuwa ndani
ya gate baada ya kufunguliwa na mlinzi wangu wa nyumba, cha ajabu mpaka nafika
ndani nilikuwa nimegundua utofauti uliokuwepo siku hiyo na siku nyingine, ilikuwa
kawaida yangu kupokelewa lakini siku hiyo nilikuwa peke yangu mguu na njia hadi
kwenye sofa. Sikujari kwa sababu nilidhani labda mke wangu kanipangia bonge la
surprise, nikaamua kwenda moja kwa moja hadi chumbani kwangu , Mungu wangu
nilimkuta Leila amelala chali huku akiwa macho kabisa akinikodolea macho pale
nilipo ingia, sikujari , maana nilijua ni madeko tu ya mtoto wa kike, nikaamua
kumuwekea zawadi zake ndani ya kabati ili badae tukumalza tu kula nimpe, lakini
nikashangazwa na kitendo cha yeye kuniangalia tu kila nilicho kuwa nafanya.Mpaka navua nguo zangu alikuwa tu akiniangalia , wasiwasi ukanijaa kidogo,
hatakama ni surprise no, si yahivi, oooh, akili ikanijia labda anaumwa nika vuta
subira labda kuna kitu ataniambia, hivyo nikaungana nae kitandani na mimi
nipumzike kidogo kabla sijaelekea kuoga, kama kawaida yangu, nikapitisha mkono
wangu kiunoni mwa Leila , lakini ghafla bila kutegemea, nilishangaa kuona mkono
wangu ukitolewa na akanisindikiza kwa maneno nimwache amechoka, nikazidi
kushangaa , hata kama alikuwa amechoka Leila si wakunijibu namna ile nikapiga
moyo konde na kuvunja ukimya.
“wife, kunatatizo?”
“nimechoka niache..”
“jamani mke wangu kazi gani kubwa leo umefanya kuliko sikuzote”
“siku hazilingani”
“Leila mke wangu haya majibu yameanza lini, kama kuna tatizo si tuongee tu
kuliko kunifanyia ivi”
“kwani we maswali hayo umeanza lini”
“mmmh, sawa ‘ndoho tabhu’(hamna shida), maji yapo bafuni au yamekata”
“kwani siku zote unayakutaga wapi”
“bafuni mke wangu”
“sasa, kusumbuana kwa nini?”
“kwani kuulza kosa mke wangu”
“sio kosa, ila una taabu sana, nimekwambia nimechokanielewe”
“sawa nimekuelewa ila chakula kipo?’’
“huna mikono”
Hapo ndipo uzalendo ukanishinda nikanyanyuka ili walau nimchangamshe kwa
makofi ata mawili ila nikaona kumpiga mwanamke ni upuuzi na kuto jiamini,
nikaanza kuonja raha ya ndoa sasa, nikaamua kujishusha walau jue hata sababu
huenda nikawa na kosa
“hivi wife, nimekukosea nini mimi”
“aseee, shika hamsini zako nimechoka”
Safari hii aliamua kwenda kukaa sebureni na kanga yake moja laini, iliyo kuwa
imemchora mwilini mwake, huku ndani akiwa hajatupia chochote kile, na kwa
mwendo wake wa hasira nyuma akawa anatingisha tu matawi yake malaini, sasa
mtoto wa kiume si nika sisimka nilipo mtazama mke wangu, nikaona nisiteseke
wakati nina mke nimeoa tena mke halali, nikamfata huko sebuleni, huko sebuleni
nilimkuta amekaa ki-hasarahasara huku akiwa ameeacha paja lake zuri najeupe,lisilo kuwa na kovu wazi, nilipo fika nilikaa pembeni yake kisha nikaweka
mkono wangu juu ya paja lake lile laini na kuanza kilipapasapapasa, mara ghafla
akautoa mkono wangu kwa nguvu akidai nimuache amechoka, hali Fulani ya hasira
ikanikaba, kiukweli mke wangu alikuwa amebadilika tena ghafla , hali iliyo niumiza
sana moyo, tena kabadilika wakati mbaya wakati ambao bado nampenda kwa
moyo wangu wote, roho iliniuma sana tena sana, usisimuliwe, ogopa kupenda na
kama bado hujapenda baki ivoivo tu sikushauri nduguyangu na kama tayari usha
penda , pole kwa kuyapaparukia maisha, nilijikuta nakuwa mpweke sana, hamu ya
kufanya yale ya kwetu ilinijia lakini ningefanya na nani mwenzangu ndo kachoka,
niliumia sana , nikaanza kuwaza huenda ndoa zote zipo ivo lakini hapana, mbona
wengine kila kukicha nawaona wanapendana waziwazi inamaana ni ndoa yang utu,
kwanini mimi jamani.
“mke wangu basi kama umechoka, pole, twende tukaoge upunguze uchovu,
sawa mke wangu ,”
“sijisikii”
“basi sawa , namm sitaoga sijisikii pia”
“shida zako tu baba”
Hapa alinijibu huku akibinua midomo yake na kubana pua yake, aisee macho
yalianza kubadilika na kuwa mekundu, hii yote ni kwa sababu tu ya hasira ambazo
mke wangu alikuwa anazisababisha, mke nlie toka naye mbali sana kimaisha mpaka
tunafika hapa, mke ambae nilikabidhiwa na wazazi wake nimtunze kwa hali na mali
kutokana na kuwa mtoto wa kipekee wa mzee Jackson, mzee gaidi na katiri katika
mtaa mzima wa NATA jijini mwanza,
Niliamua kuachana naye kisha nikaingia bafuni ambako nilifikia kuoga na
kisha nikapitiliza hadi mezani walau nipate chakla lakini sikukuta chochote,
nikakumbuka hata ndio yeye aliye kata nisilete mfanyakazi wa ndani eti kisa yeye
ana wivu sana, potelea mbali nikaingia hadi chumbani ambako nilivaa kisha nikatoa
noti mbili za elfu tanotano na kutoka nje, huko nnilimuaga mlinzi kwamba mda
mfupi nitageuza nika pita hadi nyumba ya pili nikakutana na banda la chakula ,
niliomba kufungiwa chips kuku, kisha nikageuza hadi kwangu , njiani nikachuku
voucher na kiaanza kurudi kwangu.
Nilipitiliza hadi chumbani ambako nilimkuta kajilaza kifudifudi huku katoa ile
kanga yake na sasa alikuwa tupu kama alivyo zaliwa. Sikumjali nifika hadi sehemu
ambako kulikuwa na kiti kisha nika kaa na kutaka kuanza kula, lakini nikama
nilikuwa najisumbua tu, radha ya chakula haikuwepo kabisa hata ile hamu sikuisikia ila njaa nlikuwa nayo tena kubwa. Nikiwa katika kuhangaika hangaika na chakla
changu Leila alikuwa akijigeuza geuza , nikawa napeleka macho yangu
kumwangalia, kwel mtoto aliumbika , kila nilipon mwangalia mm kama mwanaume
lijali basi wajina wangu alisimama,weka na hipsi alizo kuwa nazo, jumlisha kalio lake
lilivyo kuwa limejichora alipokuwa amejilaza weeee, uzalendo ulinishinda nikaona
leo ni leo, kama ndoa tulisha funga mateso ya nini, nikajisogeza hadi kitandani
ambako nilivua nguo zangu nikabakiwa na kiji bukuta changu cha kulalian nikafikia
adi mgongoni mwa mke wangu Leila alie kuwa amelala, mwili ulisisimka vibaya
sana, cha ajabu siku hiyo nilikuwa na hamu kubwa sana, takribani wiki sasa nilikuwa
sijakutana nae kwa kuwa alikuwa kasika zile siku zao,
“unataka kufanyaje…?”
“nini?”
Nilihamaki maana ni swali ambalo sikuwahi ulizwa katika maisha yangu, maana
hata x wangu hakuwahi niulza swali kama lile kwa hali kamaile.
Hasira ilikuwa imenijaa,, asikusimulie mtu, hata wajila alikuwa ameshaanza
kulala zake mda huu maana hakuona raha ya mapenzi ten ahata angefanya kwa
siku hiyo asinge ridhika, mapenzi matamu ukipata mtu anaekupenda , kunamda
wakati wa nyuma nilipo kuwa nikikutana na Leila nilijihisi kiumbe wa pekee hapa
duniani, nilisha wahi kupaa mpaka mwezini, sioni wala sisikiii, chezea Leila wewe
akiwa katika ubora wake, kwanini nisimpende, lakini sasa tayari kesha anza
kubadilika, huenda kaanza kulijua jiji , jiji la mwanza jiji tamu kuliko kama ukilijua
mitaa na starehe zake, lenye kila aina ya wazu, wazungu kwa waarabu, waafrika na
makabila yake, wasukuma na wachaga kwanini watu wasisahau kama kuna Mungu.
Itaendelea………………………….
Other stories of the same author
Boyfriend
The last drop
Hisia za dhati
Rose and the king
Her neckless
I still love you
Vow
Love bites
Jemima hili ni jiji
Sarah mbona hukuniaga