Hii ni aina gani ya nyoka?

Sibaru

Member
Aug 29, 2017
47
42
Habari wakuu,

Wale wenye uelewa na wadudu hawa naomba mnisaidie kujua kama aina hii ya nyoka ni ipi na je, wana sumu kali?

Tumekuwa tukipambana nao karibu kila wiki mtaani kwetu hapa Morogoro Mjini na vingine ni virefu vyeusi vyembamba.

20200415_083324.jpg
20200415_083206.jpg
20200415_083158.jpg
 
Mkuu mtazame macho vizuri kama yana muonekano wa duara kama sarafu basi nyoka huyo ana sumu tazama koboko, cobra wako kundi hili.

Kama ana muonekano wa macho kama karanga huyo hana sumu na jamii hii ni kama chatu vile.
 
Back
Top Bottom