Natamani iwe hivyo asiwe na sumuHuku mbeya wanamwita mlalo na wanasema hana sumu.
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Siku itafika utakapomuona anaingia ndani mwako na una watoto wadogo halafu wewe umpishe kwenda kuwaita maliasili
Siku itafika utakapomuona anaingia ndani mwako na una watoto wadogo halafu wewe umpishe kwenda kuwaita maliasili
Identity ya black mamba Ni mdomo mweusi ndani, ajaribu kumwangalia.Yeah, kwa mwonekano ni kama koboko/black namba, but ngoja wajuzi/wazoefu zaidi waje...