Airtel wez wez kinoma juz kat nimejiunga na yatosha ya mwez cha kushangaza nikapewa dakika na message nikanyimwa MB kuwapigia simu wakaniambia watanitumia hadi leo nasubili tokea tarehe 7 jana nawapigia wananiambia mbona facbk na whatsp ni bule ukishajiunga nilicho mjibu ni kwamba siyo kila mtu...
Ainingii kichwani kuambiwa vyeti vimepotea jamani naombeni ushauli nilisoma chuo cha ucc tawi la mbez beach kozi ya recordmanagement nikaitimu mwaka 2012 cha kushangaza vyeti hadi leo atujapewa tukienda kuwauliza chuoni wanatuambia twende magogoni kwamba ndio vinapo tolewa ukienda magogoni...
Mmm makubwa nami pia nimenunua tatizo ilo ilo il a internet natumia fresh tatizo kudawnload apk ndio majanga duu Naomi pia naomba msaada no huawei y 220
Mawazo yako ndio mtaji wako salsa yafanyie kazi kwanza cha muhimu no kubolesha huduma yako kinyozi mwenye uzoefu'usafi kwa ujumla,kuweka vivutio mbali mbali kama TV
Kwa mtazamo Wang kulingana na maelezo ya muhusika inaonekana kabisa ajui nini kimemkuta ila anahisi kama kaumwa na mdudu au nyoka mi namshauli aende hospital kwa uchunguzi zaidi na so kubahatisha some time mwili unaweza kupata effect na we ukaisi kama umengatwa na kitu kumbe ni mwili tu umetoa...
Yani uyu shetani Wa kike kaniuzi mpaka mikono Yang inashindwa kutype basi tu namuombea apate upofu Wa week moja aone nani atakaye mjali kama uyo bwana alivyo mjali kipindi chote cha shida yani angekuwa uku kwetu msoma angesema tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.