Nifanyaje ili niweze kuwa IT

Nifanyaje ili niweze kuwa IT

SirLuke

Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
75
Reaction score
8
Habari zenu wanajf. Na kheri ya mwaka mpya.

Samahanini sana naomba mnisaidie ushauri. Mimi ni kijana mwenye elimu ya msingi STD7. Ninazo fun mbalimbali, But ktk maisha yangu napenda sana kutoka moyoni kuwa mwanaIT.

Napenda sana yaan kutoka moyoni. Sasa jamani elimu yangu mnavyoiona je nifanye nini mpaka nifikie hatua hyo.
 
Habari zenu wanajf. Na kheri ya mwaka mpya.
Samahanini sana naomba mnisaidie ushauri. Mimi ni kijana mwenye elimu ya msingi STD7. Ninazo fun mbalimbali, But ktk maisha yangu napenda sana kutoka moyoni kuwa mwanaIT. napenda sana yaan kutoka moyoni. Sasa jamani elimu yangu mnavyoiona je nifanye nini mpaka nifikie hatua hyo.



Unaweza kusoma IT na ukaelewa ila zingatia kujifunza kiingereza maana karibu kila kitu katika fani hii ni kwa kiingereza. Soma VETA na wakati huo huo tafuta kituo kizuri kwa ajili ya kujifunza lugha, utafanikiwa
 
ok. nashukuru mkuu kwa ushaur wako mwema. nitazingatia hilo.
 
Kasome QT kwanza .... Ukimalza waeza kwenda chuo chochote upendacho ww. Hata VETA nao fani kama IT,ELECTRONICS,ELECTRICAL,CIVIL DRAUGHTING ni lazma uwe ni form four na lazma upitie screening test ili kpata nafasi ya ksoma
 
Ukiwa na form four na chances za ajira walau zpo open tofauti na ukiwa st 7... Na ukitaka kujiajiri sio mbaya ila walau fanya had form four hafu ndo utaona utamu wa kuwa na career mana ukitaka kujiendeleza kna urahis zaid tofaut na ukiwa na std 7 tuu
 
Next assignment ni kuongeza elimu upate Ordinary Level. Hapo utakuwa na options zaidi. English muhimu sana
 
we dogo kbla ya kuanza kufikiria kwenda VETA mi nakushauri kamua kitabu kwanza..(labda kama hukufaulu hiyo std 7 na unataka kuunga veta moja kwa moja) ila kama umefaulu kamua hiyo olevel kisha nenda advanced ikibidi piga hadi chuo...kazania masomo ya sayansi kwa sana..ukitoka huko umeiva hata ukienda VETA unakuwa unakwenda kwa practical kwa sana na kuongeza ujuzi tu maana ile basic itakuwa imeshakukaa vizuri sana..VETA ni pazuri tatizo ckuiz siasa ishaingia hadi huko..wanaweza wakakulipua tu na std 7 yako ukatoka umepoteza mda tu...Kamua kitabu cha shule za kawaida kwanza kwa kadri uwezavyo...!!
 
Kama kusoma uhandisi pepe inakufanya uwe IT basi ukisoma ufamasia utakuwa dawa! Shikamoo lakini!
 
Kwanza Kabisa Anza Kuwa Karibu Na Computer + Internet Modem, Kama Hauna Nunua. IT siyo kama unavyoona history, nikiwa na maana kwambackama ulisoma IT mwaka 1990 leo itabidi uwende tena darasan mana vingi vinachange....

Sasa hiv vifaaa viwili vitakusaidia wew kupata material na technic mbalimbali online atleast vikusaidie ukianza kusoma,inabid uwe mtundu sana kwenye technology ili ufanikiwe kwenye IT...

Kila La Kheri...
 
Labda ungeendelea kutoa ufafanuzi zaidi wa situation yako, una elimu ya la saba ndio, una mpango wowote wa kuendelea na O-level au mambo yalienda pembeni kidogo, IT bila ngeli, bila hesabu angalau za olevel ni sawa na msonga ugali bila maji wala mwiko.
 
sas wwe uategemea ushauri gani kama mtu anataka kuwa dkt hivi anuliza afanye nni aweze kuwa dkt au ni lazima usome....we unadhani kuna short cut ya kuw it bla kusoma we ndo facebook....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom