Nauza projectors uses

Nauza projectors uses

Dar mkuu unauza projects usd au projectors used?
qpss
 
Kisichoeleweka nini? Ni kwamba jamaa anauza maandiko ya miradi ( projects) na malipo yake ni kwa dola ya kimarekani (usd)
 
Mkuu ondoa basi utata wa wadau kama upo sirias...projector used au projects in usd?
 
Projector used ndio nilimanisha lakini tatizo ni typing error tu nafikili tumeelewana wadau asanteni kwa kunionyesha makosa yangu
 
Projector used ndio nilimanisha lakini tatizo ni typing error tu nafikili tumeelewana wadau asanteni kwa kunionyesha makosa yangu
Basic principle ya kuandika maandishi yoyote yale...
1. Yawe self explanatory... Siyo unampa maandishi mtu, halafu unatakiwa ukae pembeni kuyaelezea..
2. Typo free
3. Yakisimama yenyewe yasiwe na maana zaidi ya moja zinazo-fit maandishi yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom