Wanawake Wengi Miaka Hii wana matumbo makubwa-why?

Inashangaza sana ambavyo wanaume hawaoni vitambi vyao vinakera. Uko na mtu anasema punguza tumbo lisije likazuia mambo yetu ukimuangalia lake limezidi kitambi cha kawaida na haoni kwamba linakera pia
ni kweli lkn si unamua sikuzote anayekunya ni kuku?
 
Michemsho, kongoro, ulimi, paya, chipsi dume na jike, kuku wa wiki 6, nyama choma + bia au wine au whisky au konyagi lazima tumbo liumuke kama hamira.

Hahahhahhh...mkuu hapo ndio mwisho wa habari, tumbo hapo halina ujanja lazima liumuke fasta!
 
Nimekuwa Baa moja jioni hii
nikiangalia mechi ya Aston Villa na Man U, wanawake wote hapa wana
matumbo makubwa, hakuna hata mmoja mwenye tumbo dogo yaani, nimejiuliza
sana nikakumbuka nije nijenge hoja hii hapa jamvini


  1. je, Huenda ni pomb?
  2. au chips?
  3. .wapi Mzizimkavu?

mkuu si umesema upo bar?
mbona jibu hapo tayar unalo
 
Nianze kwa kusema kuwa vitambi viko katika makundi 6:-

1. KITAMBI MVURUGO - Hiki kitambi kimekaa kama O kinapatikana kwa kula sana kitimoto

2. KITAMBI MCHUCHUMIO - Hiki kitambi kimekaa kama herufi D kinatokana na kula sana
michemsho na bia za ofa

3. KITAMBI MBONYEO - Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa, ila
akisimamishwa kazi kinaisha haraka sana.

4. KITAMBI MTEPETO - Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo pana hakionekani. Hiki
kinasababishwa na kula mno vipolo

5. KITAMBI MFUMANIO - Hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na
utapiamlo wa ukubwani

6. KITAMBI MTUNGUO - Hiki wanacho sana akina dada na wanawake, kina umbo la yai. Hiki
kwa "diet" hakitoki labda kwa maombi tu.

Je kitambi cha ndugu yako, partner wako, wewe mwenyewe au cha boss wako kiko kundi lipi??

umesahau kimoja, kitambi UTAJIJU hiki kipo kundi moja na kile cha rushwa ila ni spesheli kwa matrafiki tu (a.k.a askari wa kukusanya kodi ndogo barabarani za matumbo yao)
 
!
!
jibu ni kwamba wanakula ugali mwingi au wali mwingi kuliko mboga...................hebu tafakari anapika ugali kilo na mboga robo kilo, unategemea nini!tumbo lazima litokee tu







Nimekuwa Baa moja jioni hii nikiangalia mechi ya Aston Villa na Man U, wanawake wote hapa wana matumbo makubwa, hakuna hata mmoja mwenye tumbo dogo yaani, nimejiuliza sana nikakumbuka nije nijenge hoja hii hapa jamvini


  1. je, Huenda ni pomb?
  2. au chips?
  3. .wapi Mzizimkavu?
 
umejipa ID inayoednana na wewe kabisa, yaani hapa ni full hekima, saluti mkuu

Jina la mtu humfuata maisha yake yote.
Nashukuru kama umeliona hilo.
Great thinkers forum kwa sasa imeshapoteza muelekeo, najaribu kwa uwezo wangu kuurudisha muelekeo
 
nakutakia heri kuiboresha JF
Jina la mtu humfuata maisha yake yote.
Nashukuru kama umeliona hilo.
Great thinkers forum kwa sasa imeshapoteza muelekeo, najaribu kwa uwezo wangu kuurudisha muelekeo
 
Back
Top Bottom