Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,617
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?
Sina comments kwa sababu mimi binafsi siwezi tumia pesa hivyo kijingajinga; hiyo ni mifuko mingapi ya sementi? ni trip ngapi za mchanga? Mtaendelea kulia maisha mabaya kumbe ubaya mnausababisha wenyewe.
Jana nimsikia jamaa akiongea kitu pale Chanya - Nyakato national - nakubaliana naye kwa silimia zote.
POMBE HAIMALIZI PESA, KINACHOMALIZA PESA NI WANAWAKE.