Ati hii ni simu au ni pepo?

Ati hii ni simu au ni pepo?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,122
Reaction score
859,362
1434865745827.jpg 1434865771709.jpg
 
Eti inaona inasikiliza inajua inashiriki inakaa macho 'unapofanya' inahusika na maneno yako na kuwafuatilia wapendwa wako....kweli mchina ni noma
 
Nilichowahi ona ni kuna chip ilifanyiwa majaribio na Watu wa Iphone, inakuwa planted katika mwili wako then unaweza fanya mengi bila kugusa simu
 
ngoja nitafute mwiko nipakue ubongo wangu
 
kiongozi kwa mara ya kwanza tangu uzaliwe umeniuzia mbuzi kwenye gunia...unaweza post mechanism ya kufungua ndani ya box ili tujue kama yaliyomo yamo???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom