Recent content by Stina

  1. S

    I need a guy

    Mmmh... wamwambia nani. Alotoa mada original au mie?
  2. S

    I need a guy

    Ukewenza mkijuana na kukubaliana ni vizuri, maana tutakuhudumia ipasavyo. Hujajibu swali langu. Upo tayari kutuhudumia sote? PM me ur no.
  3. S

    I need a guy

    Ngoja mwenyewe aje hapa aseme. Utatuweza sote? Mapenzi na matunzo.
  4. S

    Utake isitake...

    Wengine ni Rasta ya fashion sio imani. Sasa sijui vinaingilianaje? Nanyi marasta muachie wengine wake zenu hamtosalitiwa kwa kutumia "upako huo huo" wa wake wa wengine kuwa safe kwa marasta. Unauliza makofi polisi?
  5. S

    TAARIFA:.........M/KITI WA CC naomba List ya MAJINA YA WADADA WALIO SINGLE.......

    Lol... wengine hawajaolewa, hawako single na wala hawapo kwenye complicated relationships. Yaani hata cjui ziitweje?
  6. S

    utamu unakolea....

    Ukisema ulikuwa arosto nitakuelewa ila kusema diet!,Napata kigugumizi kidogo. Soda hazishauriwi kiafya na ugali ni starch ( kisukari). Ni kwa nia njema tu, si kukashifu.
  7. S

    ujumbe wa leo

    Ujumbe murua asante
  8. S

    Kwa nini wanawake wanene ni watamu kimapenzi kuliko wembamba (vimbaumbau)?

    Basi utakuwa umewapigia mahesabu na kuwapinda wote. Mtazamo wangu wanene na wembamba wote watamu ila inategemeana na "mtavyo-cope" mkiwa 6 x 6. Unakuta rythm zinaenda pamoja. Wengine unakuta "mwendo" hauendani kabisa. Yaani wewe unaenda kusini yy magharibi. Ila unakuta mwingine mnaenda pamoja.
  9. S

    Nina milioni 12 nataka Prado

    Prado yaweza patikana kwa bei hiyo. Unakuta mwingine ana shida. Kuna mtu juzi kanunua GX 100 kwa 3.5m. Yote yawezekana. Jambo la kumshauri ni aposti ktk mitandao mingine na kumtakia kila la kheri na sio kukashifiana. Nawasilisha
  10. S

    Nina milioni 12 nataka Prado

    Kila mtu ana kipenda roho chake.
  11. S

    Wacha tu tuzisingizie condom

    Nimechekaje! Ita koleo, koleo na sio kijiko kikubwa...
  12. S

    I need a guy

    Umri ni 28-32. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Pretta ulipiga chini ama?
  13. S

    Miss wa Kinyaru- Heri mimi sijasema....!

    Kwahiyo unayatungua matunda! Maana wadada wa kibongo wameumbika! (Matunda). Rukhsa
  14. S

    Kwa jinsi ujuavyo mabinti wa kibongo!

    Daudi1. Mapenzi huwezi kupima kwa muda. Haya kama ni wewe ungeweza kufanya hivyo mkiwa na muda gani ktk mahusiano? Maana umesema miezi 6 huwezi shawishika kutoa figo?
Back
Top Bottom