Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Peace Peace kwa watu wote.
mimi ras....kabanga we rastaa mjombaaa
morgan heritage wana kwambia U DON HAVE TO HAVE DREADLOCK TO BE RASTER...RASTER IS INSIDE YOU HEART
alwys nipo pale ijumaa utanikuta man full makofidensi narika riddim mbaya....just water and spliff
​hahahaaa!!wajiunge na chama la madred hawatojuta!!Umeonaee! kawaida yetu nakuunga na hoja yako mkuu
Pou piwa wewe
nipo bana.
swahiba upogooo?
katika hii dunia viumbe tulio baki wenye upendo,mapenzi aka love kwa watu wote ni sisi ma raster,RASTER HANA SUMU ATA UKIMUACHIA mke wako rasterman hawezi kukusaliti aka mka mlangai mke wako au mchumba ako AMINI NA WAMBIA WAKE ZENU,MADEMU ZENU WACHUMBA WENU WAPO SAFE KWA MARASTER
saa unasemea marster kama kina chege chigunda....wale mabitoziiWengine ni Rasta ya fashion sio imani. Sasa sijui vinaingilianaje? Nanyi marasta muachie wengine wake zenu hamtosalitiwa kwa kutumia "upako huo huo" wa wake wa wengine kuwa safe kwa marasta. Unauliza makofi polisi?
​hahahaaa!!wajiunge na chama la madred hawatojuta!!