siku moja moja unabadili staili,mambo ya diet hayo
Ukisema ulikuwa arosto nitakuelewa ila kusema diet!,Napata kigugumizi kidogo. Soda hazishauriwi kiafya na ugali ni starch ( kisukari). Ni kwa nia njema tu, si kukashifu.
siku moja moja unabadili staili,mambo ya diet hayo
Ukisema ulikuwa arosto nitakuelewa ila kusema diet!,Napata kigugumizi kidogo. Soda hazishauriwi kiafya na ugali ni starch ( kisukari). Ni kwa nia njema tu, si kukashifu.
Jmn mapafu yang
bora angekunywa soda tu