utamu unakolea....

utamu unakolea....

siku moja moja unabadili staili,mambo ya diet hayo

Ukisema ulikuwa arosto nitakuelewa ila kusema diet!,Napata kigugumizi kidogo. Soda hazishauriwi kiafya na ugali ni starch ( kisukari). Ni kwa nia njema tu, si kukashifu.
 
Ukisema ulikuwa arosto nitakuelewa ila kusema diet!,Napata kigugumizi kidogo. Soda hazishauriwi kiafya na ugali ni starch ( kisukari). Ni kwa nia njema tu, si kukashifu.

.mkuu,huku kwetu uswahilini unaposema diet unamaanisha kubadili msosi na sio kupangilia msosi kama wa kwenye sayansi kimu.jamaa aliamua kubadili menyu yake siku hiyoo
 
Back
Top Bottom