Recent content by Stephen ES

  1. S

    Rais tunaomba uingilie kati stendi ya Bukoba tumechoka

    Bukoba si ndio nyie mlikuwa mnasema inaifunika Moshi kwa kila kitu? Stand yenyewe ndio hiyo! Post sent using JamiiForums mobile app
  2. S

    Bei ya Mahindi katika kila mkoa

    Huwezi kusema bei ya Mbeya ndio iko chini kuliko mikoa yote wkt c mikoa yote umepata bei yake!
  3. S

    Stand ya Bus mkoa wa Mara-Bweri inatia Aibu

    Stand za kiwango ni ya Morogoro pale Msamvu,Ya Singida ile inayojengwa pale na Ya Moshi ambayo kwa sasa kuna haha ya kuihamisha kutokana na wingi as magari na kuonekana ni ndogo.
  4. S

    Shule nzuri, Moshi Mjini/Rombo O-level

    KAMA ni msichana mpeleke Anwarite Girls,ipo Kawawa Road kama unaelekea Kirua! Wako vzr sana.
  5. S

    Mechi za mwisho VPL,Vita ya ubingwa na kushuka daraja

    Simba imekuwa kama Arsenal!
  6. S

    Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

    Kenneth Mkapa na Salum Kabunda 'ninja'.Hawa jamaa ilikuwa ukitaka kuwapita tu,umechukua kwanja!
  7. S

    Kuna mtu aliyesoma Lugalo primary school (JESHINI)90-96...

    Mwalimu Komba,Mwl Mligo,Kabigi ndio alikuwa mkuu wa shule nk!
  8. S

    Wenyeji wa Tanga hapa ni wapi?

    Mbaga
Back
Top Bottom