Kwetu kaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 543
- 397
Tanga handeni 10000 hadi 13500 kwa pale mjn
Lushoto 17000+
Lushoto 17000+
songwe(mbeya)6500 hadi8000 mapya
Manyara sehemu gani mkuu ....20000 manyara
wapi?huku kwangu elfu 6
Songea 8500Habari Wakuu,
Naomba wadau/wajumbe waliopo katika mikoa au sehemu mbalimbali ya Tanzania mtusaidie kujua bei ya mahindi kwa ndoo ya lita 20.
Angalizo: Ni yale mahindi yanayotoa unga mwingi.
Hii ya songea kuna ukakasi mkuuSongea 8500
Wanauza ndoo ya lita 10 sh 6000Leo nimepata habari zisizo rasmi,NFRA (serikali) imeanza kutoa mahindi ya bei nafuu kanda ya Ziwa,sina uhakika sana. Kama ni hivyo,tarajia bei kushuka zaidi!
Yeah mkuuKuna mtu katoka Kasanga jana.. anasema mahindi mapya gunia ths 30,000/= ila ni yale mahind yamekomaa wakapukusua ndo wakaanika.. sio yaliyokomaa na kukaukia kwny kiguz na bua lake. Hayo yamewaishwa kidogo..
Kasanga ipo kilosa Morogoro. Unapitia njia ya mikumi.. kwa pikpik tsh 15,000/= kwa bus tsh 5000/= nauli hii ni kuanzia mikumi..
soko la mahindi sodecoHii ya songea kuna ukakasi mkuu
Songea IPI hiyo?
Tehtehteh
Kuna mtu katoka Kasanga jana.. anasema mahindi mapya gunia ths 30,000/= ila ni yale mahind yamekomaa wakapukusua ndo wakaanika.. sio yaliyokomaa na kukaukia kwny kiguz na bua lake. Hayo yamewaishwa kidogo..
Kasanga ipo kilosa Morogoro. Unapitia njia ya mikumi.. kwa pikpik tsh 15,000/= kwa bus tsh 5000/= nauli hii ni kuanzia mikumi..