Kuna mtu aliyesoma Lugalo primary school (JESHINI)90-96...

Kuna mtu aliyesoma Lugalo primary school (JESHINI)90-96...

f7a343d0276d77e99b0c68f17a2aff3f.jpg
Nawaona nawaona!
 
hahahahahahha nimecheka kama mazuri, ndo maana tukasema watoto muwe mnalala mchana
Hio shule siijui ila, nilikua na rafiki zangu wa mtaa mmoba ndio walikua wanasoma hapo.

Mimi nimesoma private school
 
Wakuu mnakumbuka ndugu ndugu njoo mwenyewe "KABIGI" tarajia mvua ya fimbo. Mwalimu kafuku mnamkumbuka
 
Back
Top Bottom