Mkuu najua wewe ni mtaalamu kwenye haya mambo but reason yako for discontinuation of concord na TU-400 is the least kabisa why zilistopiwa! Mpaka leo bado watu wanajaribu kurudi to supersonic commercial flight but issue bado iko kwenye fuel consumption and sonic boom (noise)!
Concorde problems...
Achilia kuvuja tu mkuu, mvua
Naweza kuwa nakosea lakini nadhani Concord zilizuiliwa sababu ya operation costs zilikuwa kubwa sana na 'sonic boom' ilisababisha zipigwe bun nchi kibao na ndio maana kulikuwa hakuna yoyote flying to LA due to lack of ocean flight path.
Uko right kabisa, yani hivi vyakula huku havina deal kabisa lakini wakituletea africa tunapigwa bei ya ajabu and at the same time hatujui madhara yake in our bodies!
Mkuu MSC in IT then unatafuta kazi, sijui ulibase wapi but I guess ungekuwa na projects kibao unatafuta watu wa kufund sio unatafuta job, MSC in IT then electronics yani wewe ungekuwa full, electronics kwenye hardware na hiyo IT kwenye software umemaliza. Ushauri wangu, tengeneza projects then...
Usiwe na wasiwasi kama unawaleta kusoma watasoma tu bila shida. Tatizo ni wale wanaokuja kuja huku bila plan on how they will survive here ndio wanajikuta kwenye matatizo kama hayo, sio Tanzania pekee ni tatizo la nchi zote, kuna watu huku yani hata matatizo yakitokea home hawezi rudi home...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.