Maandalizi Kabambe Kuelekea 2015

Maandalizi Kabambe Kuelekea 2015

Ushindi huhisabiwa mwishoni mwa mchezo lakini raha ya mchezo ni kipindi chote cha mchezo! Mwachieni nae ajisikie raha ya kugombania hata akishindwa huko mbeleni.
wa sasa hivi naona kwake huu ni MSAMIATI
 
kwa wale wanaopinga raisi kutoka Kaskazini mwa Tanzania hasa Arusha, Kilimanjaro na Manyara, huyu Lowasa wa CCM anatoka mkoa gani wa kusini? ama watokao Kaskazini wakiwa upinzani ndio hoja?
 
Ukisikia mpaka Sofia SImba anasema huyu ni 'MWNAUME WA SHOKA' lazima ishituke. Aliongea kama utani lakini. Pesa aliyomwaga Sofia Simba kwenye UW-CCM inatisha. Aliitoa wapi?

Alimwaga sh. ngapi?
 
huyu akiukosa uraisi anaweza kufa huyu,hakiyanani tusubiri tuone.
 
Mpango mkakati,....wafanyiabiashara mashuhuri ndani ya nyumba, angalia na mandhari piaView attachment 78099

Lowasa ni mjanja sana Harambee zake nyingi huanadamana na matajiri wa ile mikoa husika na ndio maana unasikia michango milioni 100 na zaidi.

Esp Huko Arusha duuuuuu ni matajiri wa mawe wamejikomba ni aje. Arusha kuna matajiri wengi ambao hawakuitaji msaada wowote kutoka serikalini au kujikombeleza ni kuwa wamekosa watu wa kuwaonyesha njia ipi ya kujikwamua kiuchumi na kufika mbali wao wanapenda njia za panya panya tu na kujigamba njini kuwa wana hele kumbe kuwa na pesa ni kuwekeza na ukuwe kiuchumi na kuongeza ajira na ndiko unakuwa mifano ipo wakina Mengi sasa hawa matajiri wetu huku mikoani wamejiingiza kwenye siasa kwa manufaaa ya kuneemeka wao na viongozi. kuna matajiri wengine hawajionyeshi kwa sababu za kisiasa kuwa wao hawachangii wana siasa. sasa sijui siku hizi siasa unalazimisha mtu akuchangie au fanya mambo mtu akuchangie kwa hiali yake sio mwana siasa anakulazimisha kwenye harambee haaaa wewe papa King kweli unatoa 2m we toa 5m ndio style ya Lowasa huko sasa kwenye harambeee

 
hakuna hoja hapo, basi japo watoa gesi nao watoe rais
kwa wale wanaopinga raisi kutoka Kaskazini mwa Tanzania hasa Arusha, Kilimanjaro na Manyara, huyu Lowasa wa CCM anatoka mkoa gani wa kusini? ama watokao Kaskazini wakiwa upinzani ndio hoja?
 
siyo anajipanga ameshajipanga
 
Bora afe mwenyewe lakini nina wasiwasi atakufa na wengi
 
Alimwaga sh. ngapi?

Sina uuhakika na kiasi alichomwaga, ila ni very substantial, kwa sababu kila aliyekuwa anahongwa ilikuwa ni laki 5 (kwa mujibu wa mjumbe mmoja ambaye alikuwepo kumchagua), na alihonga kwa kificho kiaina kwa sababu vijana wa Takukuru walikuwa beneti nae sana.
 
Sipati picha akina nape na kundi lake wataenda wapi endapo Edu atachukua kijiti cha Jk
 
Najiandaa kuhama na familia yangu. sitaki kumshuhudia huyu jamaa akiapishwa kuingia kwenye pango la walanguzi.
 
Sina uuhakika na kiasi alichomwaga, ila ni very substantial, kwa sababu kila aliyekuwa anahongwa ilikuwa ni laki 5 (kwa mujibu wa mjumbe mmoja ambaye alikuwepo kumchagua), na alihonga kwa kificho kiaina kwa sababu vijana wa Takukuru walikuwa beneti nae sana.
dau lake linaeleweka na linakotoka linafahamika pia......chezea mtandao wa nipe nikupe wewe
 
siasa ina vimbwanga vyake usije shangaa Nape anakua PM
Sipati picha akina nape na kundi lake wataenda wapi endapo Edu atachukua kijiti cha Jk
 
Mwacheni lowasa apumzike kwa starehe. Ni mchapa kazi. Kila mtu anajua hilo.
 
Back
Top Bottom