Tehe ni kweli bana. Tena ishakuja mara kibao tu hapa JF. Mwambie jamaa akachukue maushauri kwenye jukwaa la udaku. Kule ilikuwa 1m jamaa naona kaifanya ikawa 3m ili tuone tofauti.Nilishaisoma hii kule kwenye jukwaa la utani. Sitoi ushauri wowote.
isee kumbe ilikuwepo kwenye jukwaa la utani sasa mshauri mwambie iko kule hapa sio mahali pake
Tehe ni kweli bana. Tena ishakuja mara kibao tu hapa JF. Mwambie jamaa akachukue maushauri kwenye jukwaa la udaku. Kule ilikuwa 1m jamaa naona kaifanya ikawa 3m ili tuone tofauti.
Imetungwa hii kuchangamsha balaza.
eeeeeeeeeehhWanaumeeeeeeeeee!!