Recent content by star mia

  1. S

    Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

    Kwahiyo ulimkagua ukaona hana
  2. S

    Hivi mwaka 2020 Lowassa atakuja na gia gani?

    'Kamshahara kiduchu milioni tisa tu' hahaha sawa mkuu
  3. S

    Wafanyakazi wa serikali nani atatusaidia?

    Mkuu njia rahisi ni ya kubadili account, unafungua tu account nyingine unapeleka kwa mwajiri. Mambo ya mahakamani achana nayo crdb wakikusumbua kafungue nmb
  4. S

    Kwa watumiaji wa azamtv

    Hakuna
  5. S

    Msaada: Mimba haionekani

    Pima na mate
  6. S

    Msaada: Mimba haionekani

    Umepima mkojo au mate??
  7. S

    Tundu Lissu ashinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata 88% ya kura

    Breaking newwwwwwwwwwzzzzz, Tundu Lisu rasmi ndani ya mjengo kusubiri matokeo
  8. S

    Tundu Lissu ashinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata 88% ya kura

    Taarifa zaidi ntaleta baada ya muda mfupi
  9. S

    Harmorapa , Harmonize hajui kuimba anabebwa na media

    Kiukweli harmonize hamfikii huyu dogo hata kidogo, dogo akiendelea hivi ndo atatuwakilisha kimataifa kama diamond miaka ijayo
  10. S

    Kutoka Mahakama Kuu: Kesi ya Mbowe dhidi ya RC Makonda, RPC Sirro na ZCO Wambura

    Safi sana, sasa ngoja tuone atapewa masaa mangapi
Back
Top Bottom