Hivi mwaka 2020 Lowassa atakuja na gia gani?

Nilufer

JF-Expert Member
May 10, 2012
9,316
12,826
Jamani!! Hivi itakuaje? Mimi, Hua najiuliza sana nashindwa kupata jibu, hivi mwaka 2020 Lowassa atakuja na gia gani? Maana kwenye harambee mbali mbali simuoni, neno ufisadi hawezi kutamka, maana ndiyo unaoushughulikia Magufuli, kwa nguvu zote.

Isitoshe kaharufu ka ufisadi bado kana mng'ang'ania! Kila mtu akikumbuka Richimond eehe walewale, ijapokua sabuni nyingi zimetumika kumsafisha, bado kang'ang'aniwa tu eebwana. Sasa, Hutu tu harambee mbona sasa hashiriki kama zamani? Mwenzenu sipati jibu jamani!!.

Mmmh!!
Ni kweli jimbo la Mbeya mjini nalitaka, hilo nitalichuku mapemaaa. Lakini si kwa kushindana na Mh: Lowassa, hayo kwangu ni maji ya ziwa Tanganyika si unajua ziwa Tanganyika lina kina kirefu?. Lakini huyu Lowassa atakua na gia gani?

Maana JPM amejaa kila idara! Ukiuliza mshahara wake, mtu wa wala hataki kujilimbizia Mali kamshara kiduchu milioni Tisa tu, sasa huyu Lowassa atafiti wapi? Nipeni jibu tafadhali.
 
Watanzania hawaitaji gia ila anaishi mioyoni mwao. Na hili hukatai lakini alitaka kutoa chakula kwa ile mikoa yenye njaa akazuiwa na hii wanaomkubali wanalijua hili
 
Kweli hatakua na la kuongea maana kama ni viwonder vya cherehan nne tayar tunavyo
 
Upinzani hawataitaji nguvu nyingi wala akili nyingi kwa huu ujinga uliopo sasa
 
Jamani!! Hivi itakuaje? Mimi, Hua najiuliza sana nashindwa kupata jibu, hivi mwaka 2020 Lowassa atakuja na gia gani? Maana kwenye harambee mbali mbali simuoni, neno ufisadi hawezi kutamka, maana ndiyo unaoushughulikia Magufuli, kwa nguvu zote.

Isitoshe kaharufu ka ufisadi bado kana mng'ang'ania! Kila mtu akikumbuka Richimond eehe walewale, ijapokua sabuni nyingi zimetumika kumsafisha, bado kang'ang'aniwa tu eebwana. Sasa, Hutu tu harambee mbona sasa hashiriki kama zamani? Mwenzenu sipati jibu jamani!!.

Mmmh!!
Ni kweli jimbo la Mbeya mjini nalitaka, hilo nitalichuku mapemaaa. Lakini si kwa kushindana na Mh: Lowassa, hayo kwangu ni maji ya ziwa Tanganyika si unajua ziwa Tanganyika lina kina kirefu?. Lakini huyu Lowassa atakua na gia gani?

Maana JPM amejaa kila idara! Ukiuliza mshahara wake, mtu wa wala hataki kujilimbizia Mali kamshara kiduchu milioni Tisa tu, sasa huyu Lowassa atafiti wapi? Nipeni jibu tafadhali.
Mkuu nani kakwambia lowasa anagombea urais 2020???

Anyway hta akiamua kugombea si atakuja na ilani ya uchaguzi na sera mbadala kuedana na majira ya hali ya kisiasa!! Kma watanzania watakuwa bado wanaishi chini ya dola 1 hku nchi ina rasilimali kibao bado watatafuta mbadala wa ccm!!! Wanawwza wasimchague kwa sababu ana sera sana kuliko magufuli ila perfromance ya ccm kuanzia ssa mpaka 2020 ndio itaamua lowasa anapata kura ngapi!!! Mkifanya madudu yenu ya miaka 50 basi ujue mtapiga push up ucku kucha

However umesoma unagombea ubunge mbeya mjini??? Labda nkuulize mbeya mjini hii hii ninayoijua ambayo imetoa mbunge mwenye kura nyingi zaidi uchaguzi uliopita ama mbeya ipi nyingine??? Kma ni ile nakushauri tu usipoteze pesa yako ya kampeni kma thread zenyewe ndio hizi sioni wapi itamuangusha rais wa mbeya

Ni hayo tu
 
Back
Top Bottom