Hawa jamaa toka wameanza kujiita vodacom tanzania na kuchange logo kutoka blue kuwa red wamekuwa wapuuziiiiiii na huduma zao zimekuwa za kitapeli mpaka nashindwa kuwaelewaaa
May be mkeo ameamua kukufanyia utani kwa kupretend voice ya kidume positively thnkng itakusaidia kuepuk hilo janga aaaa
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
kama ni kukwepa gharam basi ikiwa safari ya mwanza unaanza kumtongoza ukikaribia nyegezi hapo utakuwa umeminimize cost
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mkuu mimi nakushauri anza kuvuta bangi na kuimba reggae hizo rasta zitakuja automatic na hapo utapendwa kam ex BF wake
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ki ukweli hii kauli ya kuipeleka TCU mahakaman nimesikia kwako na mkuu ntapenda sana niwepo kuisikiliz hiyo kesi
nina apa kwa jina la mwenyezimungu kama nisipo pata kabisa hata second BATCH, ntaenda nacte na TCU kuwaomba watimize wajibu wao, na kama ikiendelea hivyo, itanibidi nifanye kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.