Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaan hawa vilaza man u lazima wakae, kwa FA historia waweke pemben pumbav zao
 
Wana arsenaliy nafurah kuwajulisha arsenal ndiyo klabu yenye washabik weng zaid humu Jf mara mbili ya wale wa man u, chelsea, liva na madrid nimeligundua hili kwa kuangalia koment za kila klabu. COYG
 
Wana arsenaliy nafurah kuwajulisha arsenal ndiyo klabu yenye washabik weng zaid humu Jf mara mbili ya wale wa man u, chelsea, liva na madrid nimeligundua hili kwa kuangalia koment za kila klabu. COYG

Endelea kufanya uchunguzi,utagundua Arsenal kuwa kibonde ndio kumefanya hili jukwaa kuwa na coment nyingi
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Yaan hawa vilaza man u lazima wakae, kwa FA historia waweke pemben pumbav zao
Arsenane amepelekwa kwa chatu.
Huwezi amini lakini Arsenal imefungwa na M.United Emirates. Man. United ikiwa timu dhaifu kabisa. sasa Red. Devils wameanza kuimarika tena watacheza kwao. Itakuwa mechi nzuri kuangalia.
 
Arsenane amepelekwa kwa chatu.
Huwezi amini lakini Arsenal imefungwa na M.United Emirates. Man. United ikiwa timu dhaifu kabisa. sasa Red. Devils wameanza kuimarika tena watacheza kwao. Itakuwa mechi nzuri kuangalia.

ndio itakuwa mechi nzur kuangalia kwan arsenal ni timu yenye mpira wa kuvutia zaid hasa tunapokuwa kwenye fom. Ila amin hii mech arsenal tutashinda ushindi wa kipekee na mahiri ndan ya OT
 
Legend

10991343_10152875664797713_3537743743986893304_n.jpg

 
gun__1417787468_ox_train.jpg


We've got a small matter na Crystal Palace kabla ya
kuwakaribisha AS Monaco kwenye CL Emirates
vijana wapo Colney kama kawa ...... ..... ... COYG
 
ndio itakuwa mechi nzur kuangalia kwan arsenal ni timu yenye mpira wa kuvutia zaid hasa tunapokuwa kwenye fom. Ila amin hii mech arsenal tutashinda ushindi wa kipekee na mahiri ndan ya OT

Keep dreaming....
 
Wametukabidhi man u fa, nadhani ni muda muafaka wa kuwaadabisha hawa jamaa hata kama tutacheza kwao ot.

Ni mechi zaidi ya kumi mnasema hivyo ila mwisho was siku matokea yanakuwa kinyume!
 
Kwema kabisa Mkuu, ngoja uone muziki wetu msimu huu.

Mwaka huu mpo vizuri sana na ndiyo mechi pekee ambayo sisi MAJOGOO tunaihofia!Hawa akina RRONDO safari hii De Gea hawezi kuwaokoa tena!

CL ndiyo team pekee itakayobaki baada ya best 8(fact)
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom