Sinunui tena simu ya Huawei

Yaani jamani sio siri Wema ndio kila kitu kwa wadada walio wengi Dar es salaam baada ya kuziponda simu haina ya TECNO NA huawei WENGI sasa hawazitaki tena.

Nina ndugu yangu mmoja ana duka kariakoo ya simu ameshangazwa na maneno ya wateja hasa akina dada wakisema tupe simu aina yoyote lakini si alizoponda madam akauliza ndo nani mpaka iwe ivi ! maana angekuwa mmoja ungesema ana lake jambo!

Nimeamini ndo mana makampuni makubwa kama Airtel wanamtumia kwa sababu ana kitu cha ziada.

Ndani ya lisaa biashara inadoda ?

WEMA nitakukumbuka DAIMA no one!!! sijui ana kitu gani jamani nyota yake na kali sana!!

Nikisema umetoroka kuendelea na dozi pale milembe hospital ntakuwa cjakosea

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
watakao msikiliza huyo empty set labda aliowashika akili lakini wenye akili zao kama mimi kamwe hatuwezi kushikwa masikio na mburula sampuli ya wema,ni mwepesi kihoja mno.

Wajinga wajinga ndo wanaoshtushwa na huyo khba..na kumfagilia..na team wema wengi ni wadada wa saloon na vijiweni..
 
Yaani jamani sio siri Wema ndio kila kitu kwa wadada walio wengi Dar es salaam baada ya kuziponda simu haina ya TECNO NA huawei WENGI sasa hawazitaki tena.

Nina ndugu yangu mmoja ana duka kariakoo ya simu ameshangazwa na maneno ya wateja hasa akina dada wakisema tupe simu aina yoyote lakini si alizoponda madam akauliza ndo nani mpaka iwe ivi ! maana angekuwa mmoja ungesema ana lake jambo!

Nimeamini ndo mana makampuni makubwa kama Airtel wanamtumia kwa sababu ana kitu cha ziada.

Ndani ya lisaa biashara inadoda ?

WEMA nitakukumbuka DAIMA no one!!! sijui ana kitu gani jamani nyota yake na kali sana!!

Hoja yako ni ya kipumbavu sana...bora ingekuwa ya kijinga kuliko kuwa ya kipumbavu..

Huawei wako na simu zenye specifications za ukweli kushinda hata samsung na iphone..

Tafuta huawei kuanzia P6 uone sio unaropoka tu kama umebanwa na nnya
 
Mradi nanunua kwa pesa yangu,nani kasema nini Sio kigezo!!!!
 
Back
Top Bottom