CCM wameiharibu nchi hii. Hakuna wa kusimamia wala kufuatilia utapeli kama huu. Kuna siku niliweka sh 2500 ili ninunue kifurushi cha sh 2500. wakawa wananijibu "salio lako halitoshi kununua kifurushi hiki tafadhali ongeza pesa" kuja kuchecki balance nikashangaa imebaki 2440/= nikaongeza ikawa 2640/= bado wakaendelea "salio lako halitoshi kununua kifurushi hiki tafadhali ongeza pesa" na wakaendelea kukata. Imagine wakifanya hivo kwa watu laki 2 tu kwa siku wanatengeneza sh 200,000 mara 120 = Mil 24.