Mpenzi wangu anataka nifuge Rasta

Mpenzi wangu anataka nifuge Rasta

Tatizo hapa sio wewe kutopenda dredi au kuhofia ukoo wenu!!!
Tatizo ni wewe kulazimishwa kufanana na ex-boyfriend!! Hili ndo la kuogofya!!

Wadau ,mimi ni kidume nina mpenzi wangu anasema yeye anapenda nifuge rasta bila hivyo hata jihisi vizuri maana alishawahi kuwa na boyfriend kabla ambaye alikuwa mfuga rasta baadae wakamwagana mazima, akaumia sana sasa anasema mimi ndio nimeponya majeraha yake ya moyoni nifuge rasta ili furaha yake yote ya moyoni irudi.

Sasa mziki unakuja kwenye ukoo wetu,heshima niliyonayo kwa ndugu na marafiki,ninavyofahamika kanisani na kazini ninakofanya kazi,leo wanione nafuga rasta sijui watanioneja?maana mi sizifeel kabisa kuwa kama ni urembo na ninaona nitaonekana kituko. au wadau mnanishaurije?
 
Umeponya majeraha lakini makovu yamebaki
Inatakiwa ufuge rasta hili makovu yapotee

otherwise atatafuta beach boy (mfuga rasta):cool2:
 
Rasta nakumbuka kama zinahusishwa na beach boy, marijuan na sex tourism kwa maeneo ya mwambao! Sijui sana mtanisaidia… makolola utachagua moja
Na ukishafuga ujiandae akuambie uvute na bangi kabisa..hivi mnawapataga wapi mademu wa hivyo..!em piga chini hicho kiumbe ama lah aende jamaica uko..,
 
Last edited by a moderator:
achana nae mapema sana kwa sababu hata akikubali kuwa na wewe bila rasta siku akikutana na mtu mwenye rasta atampa mapenzi yake kirahisi sana kisa anakumbushia.
 
Ss wakat unamtokea calikuona ulivyo na akakubali ulivyo inakuwaje akulazimishe usuke rasta wkt hajakukuta nazo huyo hn upendo wa kweli na simama ktk mstar wako
 
Wadau ,mimi ni kidume nina mpenzi wangu anasema yeye anapenda nifuge rasta bila hivyo hata jihisi vizuri maana alishawahi kuwa na boyfriend kabla ambaye alikuwa mfuga rasta baadae wakamwagana mazima, akaumia sana sasa anasema mimi ndio nimeponya majeraha yake ya moyoni nifuge rasta ili furaha yake yote ya moyoni irudi.

Sasa mziki unakuja kwenye ukoo wetu,heshima niliyonayo kwa ndugu na marafiki,ninavyofahamika kanisani na kazini ninakofanya kazi,leo wanione nafuga rasta sijui watanioneja?maana mi sizifeel kabisa kuwa kama ni urembo na ninaona nitaonekana kituko. au wadau mnanishaurije?

Kama mtu hawezi kuish na kukupenda ulivyo huyo hajakupenda,,,,

Kwani demu wako mzungu??:what:
 
Mkuu mimi nakushauri anza kuvuta bangi na kuimba reggae hizo rasta zitakuja automatic na hapo utapendwa kam ex BF wake

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wadau ,mimi ni kidume nina mpenzi wangu anasema yeye anapenda nifuge rasta bila hivyo hata jihisi vizuri maana alishawahi kuwa na boyfriend kabla ambaye alikuwa mfuga rasta baadae wakamwagana mazima, akaumia sana sasa anasema mimi ndio nimeponya majeraha yake ya moyoni nifuge rasta ili furaha yake yote ya moyoni irudi.

Sasa mziki unakuja kwenye ukoo wetu,heshima niliyonayo kwa ndugu na marafiki,ninavyofahamika kanisani na kazini ninakofanya kazi,leo wanione nafuga rasta sijui watanioneja?maana mi sizifeel kabisa kuwa kama ni urembo na ninaona nitaonekana kituko. au wadau mnanishaurije?

She should love you for who you are, the lowest call in life is to get into a relationship expecting to change someone instead of you being ready to change to accept someone
 
mmh jaman ww na huyo demu wote hamjielewi.kumbe unataka kufuga rasta ili ufanane na ex wake ila unaogopa ukoo wenu.cku hizi wanaume wachache sana wengi ni juvenile
 
Usifanye chochote kile ambacho wewe mwenyewe hukipendi ili kumridhisha mtu mwingine hata kama ni MUPENZI.

Zaid ukiyafuga afu bd akubwage jeeee? Km kakupenda kwel czn km atakuletea huo upuuz ciz angeridhika naw hvo ulivooo nahc anakutumia kumaliza machungu yakeee .... dem chiz kwel em mchunguze lbd ht n anavuta bang jmn eeeeh

Makubwaaaa
 
Zaid ukiyafuga afu bd akubwage jeeee? Km kakupenda kwel czn km atakuletea huo upuuz ciz angeridhika naw hvo ulivooo nahc anakutumia kumaliza machungu yakeee .... dem chiz kwel em mchunguze lbd ht n anavuta bang jmn eeeeh

Makubwaaaa
Samahani mkuu ungerekebisha muandiko kidogo....
 
Back
Top Bottom