Anaitwa Ndege John jina rasmi... Mtaani anaitwa Bwana Afya utampata pale viwanja vya furahisha, Mwaloni, hapa mitaa ya vick fish mpaka kwa mswahili kama unatoka igogo kwenda nyegezi, kamanga ferry, iloganzala na maeneo mengi yenye uchafu hasa wa samaki (chakula chao) jina la ndege mwarabu...
Huu uzi umejaa chuki binafsi.
Namjua Cyprian Luhemeja Binafsi ni Mtu safi. Mengi yananyozungumzwa si ya kweli na muandikaji hata haelewi vizuri anachozungumzia... kwanza Hakuna Dawasco Moshi. Dawasco ni only for Dar es salaam(Parts of) na Pwani(Parts of)
Huyo Mtindasi unayemzungumzia si...
Mi nadhani amekoma! na si yeye tu.... wengi wamekoma! kweli hili ni fundisho kwa wenye mdomo mchafu! Lakin upande wa pili wa shilingi naona kama Serikali inavunja mayai kwa nyundo.
Ukweli utakuweka Huru! Steve hamuwez hata mwanangu babra! anamiaka mitatu now na anachekesha zaidi yake... Actualy huyu bwana hachekeshi kabisa, anachojua ni kuboa tu watu... na ni mtaalamu hasa wa kuboa wenzie na ukuwadi anauweza weza pia ila amebobea katika tasnia ya kuboa watu! Omondi ni...
Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali, hatunaye.
Taarifa zinaeleza ameuwawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuokotwa vichakani maeneo ya Kimara jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo.
Yassin Abdallah maarufu kama Ustaadhi, mmoja wa viongozi wakongwe wa mchezo wa ngumi...
TID had no business talking about long gone affairs publicly like that! He had that coming... nilivyosikia tu remarks zake kwa Wema nikajua time bomb is already set and ticking! Karma is a Bitch. Unashindanaje na mwanamke kuongea? really? Mwanaume unayejiheshimu unafanya kila linalowezekana...
Hapo kwa Nyerere nadhani inatakiwa isomwe NI BORA KUFA NA FIKRA HAI KULIKO KUISHI NA FIKRA ZILIZOKUFA... kwasababu kusema 'ni bora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizokufa' unakua haujasema chochote cha maana... Ubora unatiwa nguvu na matokeo mabaya kabisa ambayo utakuwa tayari...
Mi naona kama anatafuta kick tu! kusupport track yake! Muuza unga for years mke wake lazima ajue kutokana na nature ya biashara yenyewe. kuna ka ukweli hakasemi! sababu siri yake...
Nipo kazini kaka! Na mshahara wao ulikua upo sawa na ninaolipwa sasa plus kwao kuna masuala ya relocation... kilichonivuta ni Cheo na Working hours, yalikua hayafiki masaa 45 kwa wiki. actually unareport saa 3 mpaka saa kumi na jmoc na jpili off! kilichonishinda ni mshahara zaid na masuala ya...
Hahahaaa mimi ishawahi nitokea hiyo! Jamaa akaanza kuniuliza mambo ya shule... honestly sikua namkumbuka hatukuwa level moja ye alitangulia na sijui kama alifaulu au au vp kwasababu simjui, simkumbuki hata picha haiji! alianza tu... aaah ulikua shule flani eeeh!? mwalimu fulani vp? yule nanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.