Recent content by stan

  1. stan

    Kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?

    Anaitwa Ndege John jina rasmi... Mtaani anaitwa Bwana Afya utampata pale viwanja vya furahisha, Mwaloni, hapa mitaa ya vick fish mpaka kwa mswahili kama unatoka igogo kwenda nyegezi, kamanga ferry, iloganzala na maeneo mengi yenye uchafu hasa wa samaki (chakula chao) jina la ndege mwarabu...
  2. stan

    Rais Magufuli tusaidie, Luhemeja ameigeuza DAWASCO shamba la bibi

    Huu uzi umejaa chuki binafsi. Namjua Cyprian Luhemeja Binafsi ni Mtu safi. Mengi yananyozungumzwa si ya kweli na muandikaji hata haelewi vizuri anachozungumzia... kwanza Hakuna Dawasco Moshi. Dawasco ni only for Dar es salaam(Parts of) na Pwani(Parts of) Huyo Mtindasi unayemzungumzia si...
  3. stan

    Vitabu 10 ambayo vitakujenga

    How to lose friends and alienate people. kitafute pia... kinafundisha what not to do
  4. stan

    Lema aachwe jela hadi hamu yake iishe

    Mi nadhani amekoma! na si yeye tu.... wengi wamekoma! kweli hili ni fundisho kwa wenye mdomo mchafu! Lakin upande wa pili wa shilingi naona kama Serikali inavunja mayai kwa nyundo.
  5. stan

    Steve Nyerere amponda Erick Omondi, adai watanzania wanaomkubali ni wajinga

    Ukweli utakuweka Huru! Steve hamuwez hata mwanangu babra! anamiaka mitatu now na anachekesha zaidi yake... Actualy huyu bwana hachekeshi kabisa, anachojua ni kuboa tu watu... na ni mtaalamu hasa wa kuboa wenzie na ukuwadi anauweza weza pia ila amebobea katika tasnia ya kuboa watu! Omondi ni...
  6. stan

    TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

    Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali, hatunaye. Taarifa zinaeleza ameuwawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuokotwa vichakani maeneo ya Kimara jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo. Yassin Abdallah maarufu kama Ustaadhi, mmoja wa viongozi wakongwe wa mchezo wa ngumi...
  7. stan

    Pole sana TID "Mnyama"

    TID had no business talking about long gone affairs publicly like that! He had that coming... nilivyosikia tu remarks zake kwa Wema nikajua time bomb is already set and ticking! Karma is a Bitch. Unashindanaje na mwanamke kuongea? really? Mwanaume unayejiheshimu unafanya kila linalowezekana...
  8. stan

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Hapo kwa Nyerere nadhani inatakiwa isomwe NI BORA KUFA NA FIKRA HAI KULIKO KUISHI NA FIKRA ZILIZOKUFA... kwasababu kusema 'ni bora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizokufa' unakua haujasema chochote cha maana... Ubora unatiwa nguvu na matokeo mabaya kabisa ambayo utakuwa tayari...
  9. stan

    Video ya kusikitisha ya Rah P Akielezea Alivyoteswa na Kuzalishwa Watoto Wawili Marekani

    Mi naona kama anatafuta kick tu! kusupport track yake! Muuza unga for years mke wake lazima ajue kutokana na nature ya biashara yenyewe. kuna ka ukweli hakasemi! sababu siri yake...
  10. stan

    Balozi Dr. Ramadhani Kitwana Dau apokelewa Kuala Lumpur kwa nderemo

    Maneno mengi maelezo machache!
  11. stan

    Picha: Jana nimekutana na jini kwa mara ya kwanza

    Hiyo picha nimeiona instagram tangu asubuhi imezagaa! Upo uwezekano unaongea UONGO...
  12. stan

    Viongozi wetu CHADEMA mtajiuzulu lini?

    Mamluki! wallah usipoambiwa hivyo namuacha mkeo.
  13. stan

    Uliwahi kufanyiwa "interview" ya kazi na watu unaowazidi uwezo?

    Nipo kazini kaka! Na mshahara wao ulikua upo sawa na ninaolipwa sasa plus kwao kuna masuala ya relocation... kilichonivuta ni Cheo na Working hours, yalikua hayafiki masaa 45 kwa wiki. actually unareport saa 3 mpaka saa kumi na jmoc na jpili off! kilichonishinda ni mshahara zaid na masuala ya...
  14. stan

    Uliwahi kufanyiwa "interview" ya kazi na watu unaowazidi uwezo?

    Hahahaaa mimi ishawahi nitokea hiyo! Jamaa akaanza kuniuliza mambo ya shule... honestly sikua namkumbuka hatukuwa level moja ye alitangulia na sijui kama alifaulu au au vp kwasababu simjui, simkumbuki hata picha haiji! alianza tu... aaah ulikua shule flani eeeh!? mwalimu fulani vp? yule nanii...
Back
Top Bottom