balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,425
- 12,525
Enzi hizo,,,,hebu cheki demu lilovaa skin tight......vencha. Batiiii........mikasiiii,mitungiiiiRah p anakwambia acha longolongo we sema una shilingi ngapi?kipaji anacho akaze buti.
Enzi hizo,,,,hebu cheki demu lilovaa skin tight......vencha. Batiiii........mikasiiii,mitungiiiiRah p anakwambia acha longolongo we sema una shilingi ngapi?kipaji anacho akaze buti.
Mkuu umeongea kitu kikubwa sana....Yuko poa lakin ,mambo ya chura,meno yake na ameonesha yeye kweli ni mwanamke,ana swagga,amelia.yuko poaa
Huyo alosema hivyo alikuwa mchizi mox eeeh bwana eeh unaweza kuhonga laki sautiflan kavu hivi ina vikorombwezo vya mmea,Enzi hizo,,,,hebu cheki demu lilovaa skin tight......vencha. Batiiii........mikasiiii,mitungiiii
Wengi hupoteza mda MTU na kurudi bongo wakiwa ka wamechqnganyikiwa rafiki yangu alirudi akili yake si nzuri ilimchukua mda kurudi ñormal na kujipanga kuanzia mojaWengi wanafikiri ukifika majuu tu maisha umeyashinda..
Wewe jamaa ndio yule stranger uliyepigwa mate na Caren nini pale Java ??Yule dogo ake ndio balaa zaidi. Nakumbuka last kukutana nae ilikua sea clif enzi za Java Lounge
Nimekumbuka sana enzi zake zile...Dah, maisha ni kupanda na kushuka wazee!
Yes hata Mimi nimeona hana shida sana au pengine alikua Ana expect makubwa zaidi, but hata changamoto alizopata huko ni elimu tosha, elimu sio lazima ukae darasaniTuongee ukweli, pamoja na yote, Life lake na life la wadada wa kibongo walio kwama, kama sista P, zay b na wengine wengi. wapi linawapiga zaidi? Rap P apartment kali, gari safi, ngozi inawaka, yaani kila kitu utamu. Bora akae uko uko maana angekuwa bongo pengine angekuwa kama Madame uchwara
Kitamu hatari.Nimependa kiinglish chake
Kwa muda mrefu rapper wa kike aliyewahi kutikisa nchini Tanzania, Rah P amekuwa kimya na kuendelea na maisha yake nchini Marekani.
Lakini wengi hawajui tabu na shida alizozipata baada ya kwenda nchini humo kutafuta maisha na kufuata ndoto yake. Hii ni interview iliyofanywa na Kali TV Online ambapo anasimulia jinsi alivyohangaika baada ya kuzalishwa watoto wawili na mwanaume ambaye alikuja kugundua kuwa ni muuzaji wa madawa ya kulevya.
Baadaye mwanaume huyo alikuja kukamatwa na hivyo kubaki mwenyewe akiwahudumia watoto wake wakati hakuwa na kazi. Baada ya hali hiyo alijikuta katika wakati mgumu na kusongwa na mawazo mengi kiasi cha kumfanya awe mlevi na kujikuta akifungwa jela.
Sasa anataka kufufua tena ndoto yake ya kufanikiwa kimuziki nchini Marekani. Atafanikiwa akiwa tayari ni mama wa watoto wawili?