Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
- Thread starter
- #61
Shukrani mkuuPitieni na hivi pia labda vitawafaa mbele ya safari.
Shukrani mkuuPitieni na hivi pia labda vitawafaa mbele ya safari.
QuranHabari zenu wakuu.
Vipo vitabu vingi ambavyo unaweza kusoma lakini leo naomba niwape list ya vitabu kumi na mbili ambavyo kwa upande wangu nadhani ukivisoma na kufuata maelekezo utaweza kubadili maisha yako kwa ujumla.
Achana na vile vya James Hadley Chase ambavyo asilimia kubwa ni kwaajili ya kuburudisha hapa nazungumzia vitabu ambavyo vitakujenga.
NB.
Unaweza pia kutupa list yako ya vitabu unavyoona ni vizuri watu wakavisoma.
1.How to win friend and influence people by DALE CARNEGIE.![]()
2.Rich Dad poor Dad by ROBERT KIYOSAKI.![]()
3.Cash flow quadrant by ROBERT KIYOSAKI![]()
4.The slight edge by JEFF OLSON.![]()
5.Mastery by ROBERT GREEN![]()
6.Antifragile by NASSIM TALEB![]()
7.Predictably irrational by DAN ARIELY![]()
8.Start with why by SIMON SINEK![]()
9.The 4 hour workweek/Escape 9-5.by TIM FERRISS![]()
10. Outliers by MALCOLM GRADWEL.![]()
11.The 48 law of power by ROBERT GREEN![]()
12.The obstacle is the way by RYAN HOLIDAY.![]()
The power of positive thinkingHabari zenu wakuu.
Vipo vitabu vingi ambavyo unaweza kusoma lakini leo naomba niwape list ya vitabu kumi na mbili ambavyo kwa upande wangu nadhani ukivisoma na kufuata maelekezo utaweza kubadili maisha yako kwa ujumla.
Achana na vile vya James Hadley Chase ambavyo asilimia kubwa ni kwaajili ya kuburudisha hapa nazungumzia vitabu ambavyo vitakujenga.
NB.
Unaweza pia kutupa list yako ya vitabu unavyoona ni vizuri watu wakavisoma.
1.How to win friend and influence people by DALE CARNEGIE.![]()
2.Rich Dad poor Dad by ROBERT KIYOSAKI.![]()
3.Cash flow quadrant by ROBERT KIYOSAKI![]()
4.The slight edge by JEFF OLSON.![]()
5.Mastery by ROBERT GREEN![]()
6.Antifragile by NASSIM TALEB![]()
7.Predictably irrational by DAN ARIELY![]()
8.Start with why by SIMON SINEK![]()
9.The 4 hour workweek/Escape 9-5.by TIM FERRISS![]()
10. Outliers by MALCOLM GRADWEL.![]()
11.The 48 law of power by ROBERT GREEN![]()
12.The obstacle is the way by RYAN HOLIDAY.![]()
Lakini hata hivyo vitabu 66 ameviandika mwanadamu kama hivi vingine.VITABU VIMFAAVYO MWANADAMU KUSOMA NI VILE VITABU 66 VILIVYOKO NDANI YA KITABU KITAKATIFU KIITWACHO BIBLIA. vingine vyoote ni "ubatili mtupu"
Umesahau BIBLIA
Sawa mkuu,ila hapa hatujagusia vile vya Dini ambavyo ni QURAN na BIBILIA ambavyo kila mtu anajua umuhimu wake.VITABU VIMFAAVYO MWANADAMU KUSOMA NI VILE VITABU 66 VILIVYOKO NDANI YA KITABU KITAKATIFU KIITWACHO BIBLIA. vingine vyoote ni "ubatili mtupu"
Biblia imeandikwa na watu wakiandika yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Soma 2PETRO 1:20-21.Lakini hata hivyo vitabu 66 ameviandika mwanadamu kama hivi vingine.
Unauhakika gani hawa wengine hawajapata muongozo wa Mungu, Mfano wanaochapisha vitabu vya kuondokana na umasikini au hata wanaoandika kuhusu injili na Mungu lakini sio biblia?Biblia imeandikwa na watu wakiandika yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Soma 2PETRO 1:20-21.
Pia maandiko yale ni pumzi ya Mungu. Soma 2TIMOTHEO 3:16
Biblia haikubakisha kitu chochote kinachohusiana na mwanadamu. Kwa mfano kama unataka kuagana na umasikini - soma Biblia, tafakari kisha uliishi Neno hilo ambalo ni la MunguUnauhakika gani hawa wengine hawajapata muongozo wa Mungu, Mfano wanaochapisha vitabu vya kuondokana na umasikini au hata wanaoandika kuhusu injili na Mungu lakini sio biblia?
Hujajibu swali, nmeuliza una uhakika gani hawa waandishi wengine hawajaongozwa na Mungu?Biblia haikubakisha kitu chochote kinachohusiana na mwanadamu. Kwa mfano kama unataka kuagana na umasikini - soma Biblia, tafakari kisha uliishi Neno hilo ambalo ni la Mungu
Nina uhakika. Waandishi hao wao wanafanya biashara tu. Roho Mtakatifu Alishamaliza kazi ya uandishi wa mambo yote yamhusuyo mwanadamu. Mambo hayo yote yashakuwa compiled kwenye KITABU kimoja kitakatifu sana kiitwacho Biblia.Hujajibu swali, nmeuliza una uhakika gani hawa waandishi wengine hawajaongozwa na Mungu?
Yaishe tuendelee na huu uzi maana naona umeamua tu kubisha,kwasababu nauhakika kabisa kuwa wajua Roho mtakatifu na Mungu bado wanafanya kazi hadi leo hii.Huwez fananisha technolojia na sayansi ya hii dunia na changamoto miaka 2000 iliyopita na sasa hivi.Nina uhakika. Waandishi hao wao wanafanya biashara tu. Roho Mtakatifu Alishamaliza kazi ya uandishi wa mambo yote yamhusuyo mwanadamu. Mambo hayo yote yashakuwa compiled kwenye KITABU kimoja kitakatifu sana kiitwacho Biblia.
Sawa mkuu, KARIBU SANA KWA BWANA YESU. Utayajua mengi ambayo hukuwahi kuyafikiria.Yaishe tuendelee na huu uzi maana naona umeamua tu kubisha,kwasababu nauhakika kabisa kuwa wajua Roho mtakatifu na Mungu bado wanafanya kazi hadi leo hii.Huwez fananisha technolojia na sayansi ya hii dunia na changamoto miaka 2000 iliyopita na sasa hivi.
Hii ndyo sababu waafrica wengi tu maskin...kinaongelewa kitu kingine mtu anainguza kingineSawa mkuu, KARIBU SANA KWA BWANA YESU. Utayajua mengi ambayo hukuwahi kuyafikiria.