Vitabu 10 ambayo vitakujenga

Vitabu 10 ambayo vitakujenga

Habari zenu wakuu.
Vipo vitabu vingi ambavyo unaweza kusoma lakini leo naomba niwape list ya vitabu kumi na mbili ambavyo kwa upande wangu nadhani ukivisoma na kufuata maelekezo utaweza kubadili maisha yako kwa ujumla.
Achana na vile vya James Hadley Chase ambavyo asilimia kubwa ni kwaajili ya kuburudisha hapa nazungumzia vitabu ambavyo vitakujenga.

NB.
Unaweza pia kutupa list yako ya vitabu unavyoona ni vizuri watu wakavisoma.

1.How to win friend and influence people by DALE CARNEGIE.
7cddeb09b6ea3de2f7e0139366643d32.jpg

2.Rich Dad poor Dad by ROBERT KIYOSAKI.
4be05e2d03144b4840b8947e341f3ed1.jpg

3.Cash flow quadrant by ROBERT KIYOSAKI
f96d2077ceaa658599b04fa145f8bb17.jpg

4.The slight edge by JEFF OLSON.
19fcb218794f18d5d06219d86ea51d04.jpg

5.Mastery by ROBERT GREEN
9998765b56f4a799264ade710aba7b3e.jpg

6.Antifragile by NASSIM TALEB
a4569f4e0cad8c30d0c0877295ce083c.jpg

7.Predictably irrational by DAN ARIELY
b04902977c48c5d8230316b8b07fc88b.jpg

8.Start with why by SIMON SINEK
bbe84dca0f19896f4db342b44277cb46.jpg

9.The 4 hour workweek/Escape 9-5.by TIM FERRISS
6b1fcb946208a2b7441e2e804cf443cb.jpg

10. Outliers by MALCOLM GRADWEL.
0dafbc1eadf0b5bf55855c2a5187dbdb.jpg

11.The 48 law of power by ROBERT GREEN
04d5d360822421c707bb57d79f340fec.jpg

12.The obstacle is the way by RYAN HOLIDAY.
a25737abb4cdaec6bbf2e6f101d78ffe.jpg
Quran
 
Habari zenu wakuu.
Vipo vitabu vingi ambavyo unaweza kusoma lakini leo naomba niwape list ya vitabu kumi na mbili ambavyo kwa upande wangu nadhani ukivisoma na kufuata maelekezo utaweza kubadili maisha yako kwa ujumla.
Achana na vile vya James Hadley Chase ambavyo asilimia kubwa ni kwaajili ya kuburudisha hapa nazungumzia vitabu ambavyo vitakujenga.

NB.
Unaweza pia kutupa list yako ya vitabu unavyoona ni vizuri watu wakavisoma.

1.How to win friend and influence people by DALE CARNEGIE.
7cddeb09b6ea3de2f7e0139366643d32.jpg

2.Rich Dad poor Dad by ROBERT KIYOSAKI.
4be05e2d03144b4840b8947e341f3ed1.jpg

3.Cash flow quadrant by ROBERT KIYOSAKI
f96d2077ceaa658599b04fa145f8bb17.jpg

4.The slight edge by JEFF OLSON.
19fcb218794f18d5d06219d86ea51d04.jpg

5.Mastery by ROBERT GREEN
9998765b56f4a799264ade710aba7b3e.jpg

6.Antifragile by NASSIM TALEB
a4569f4e0cad8c30d0c0877295ce083c.jpg

7.Predictably irrational by DAN ARIELY
b04902977c48c5d8230316b8b07fc88b.jpg

8.Start with why by SIMON SINEK
bbe84dca0f19896f4db342b44277cb46.jpg

9.The 4 hour workweek/Escape 9-5.by TIM FERRISS
6b1fcb946208a2b7441e2e804cf443cb.jpg

10. Outliers by MALCOLM GRADWEL.
0dafbc1eadf0b5bf55855c2a5187dbdb.jpg

11.The 48 law of power by ROBERT GREEN
04d5d360822421c707bb57d79f340fec.jpg

12.The obstacle is the way by RYAN HOLIDAY.
a25737abb4cdaec6bbf2e6f101d78ffe.jpg
The power of positive thinking
 
VITABU VIMFAAVYO MWANADAMU KUSOMA NI VILE VITABU 66 VILIVYOKO NDANI YA KITABU KITAKATIFU KIITWACHO BIBLIA. vingine vyoote ni "ubatili mtupu"
 
VITABU VIMFAAVYO MWANADAMU KUSOMA NI VILE VITABU 66 VILIVYOKO NDANI YA KITABU KITAKATIFU KIITWACHO BIBLIA. vingine vyoote ni "ubatili mtupu"
Sawa mkuu,ila hapa hatujagusia vile vya Dini ambavyo ni QURAN na BIBILIA ambavyo kila mtu anajua umuhimu wake.
 
How to lose friends and alienate people. kitafute pia... kinafundisha what not to do
 
Biblia imeandikwa na watu wakiandika yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Soma 2PETRO 1:20-21.
Pia maandiko yale ni pumzi ya Mungu. Soma 2TIMOTHEO 3:16
Unauhakika gani hawa wengine hawajapata muongozo wa Mungu, Mfano wanaochapisha vitabu vya kuondokana na umasikini au hata wanaoandika kuhusu injili na Mungu lakini sio biblia?
 
Unauhakika gani hawa wengine hawajapata muongozo wa Mungu, Mfano wanaochapisha vitabu vya kuondokana na umasikini au hata wanaoandika kuhusu injili na Mungu lakini sio biblia?
Biblia haikubakisha kitu chochote kinachohusiana na mwanadamu. Kwa mfano kama unataka kuagana na umasikini - soma Biblia, tafakari kisha uliishi Neno hilo ambalo ni la Mungu
 
Biblia haikubakisha kitu chochote kinachohusiana na mwanadamu. Kwa mfano kama unataka kuagana na umasikini - soma Biblia, tafakari kisha uliishi Neno hilo ambalo ni la Mungu
Hujajibu swali, nmeuliza una uhakika gani hawa waandishi wengine hawajaongozwa na Mungu?
 
Hujajibu swali, nmeuliza una uhakika gani hawa waandishi wengine hawajaongozwa na Mungu?
Nina uhakika. Waandishi hao wao wanafanya biashara tu. Roho Mtakatifu Alishamaliza kazi ya uandishi wa mambo yote yamhusuyo mwanadamu. Mambo hayo yote yashakuwa compiled kwenye KITABU kimoja kitakatifu sana kiitwacho Biblia.
 
Nina uhakika. Waandishi hao wao wanafanya biashara tu. Roho Mtakatifu Alishamaliza kazi ya uandishi wa mambo yote yamhusuyo mwanadamu. Mambo hayo yote yashakuwa compiled kwenye KITABU kimoja kitakatifu sana kiitwacho Biblia.
Yaishe tuendelee na huu uzi maana naona umeamua tu kubisha,kwasababu nauhakika kabisa kuwa wajua Roho mtakatifu na Mungu bado wanafanya kazi hadi leo hii.Huwez fananisha technolojia na sayansi ya hii dunia na changamoto miaka 2000 iliyopita na sasa hivi.
 
Yaishe tuendelee na huu uzi maana naona umeamua tu kubisha,kwasababu nauhakika kabisa kuwa wajua Roho mtakatifu na Mungu bado wanafanya kazi hadi leo hii.Huwez fananisha technolojia na sayansi ya hii dunia na changamoto miaka 2000 iliyopita na sasa hivi.
Sawa mkuu, KARIBU SANA KWA BWANA YESU. Utayajua mengi ambayo hukuwahi kuyafikiria.
 
48 laws of Power
 

Attachments

  • 48+Laws+of+Power%2C+The+-+Robert+Greene%3B+Joost+Elffers_cover.jpg
    48+Laws+of+Power%2C+The+-+Robert+Greene%3B+Joost+Elffers_cover.jpg
    4 KB · Views: 197
Sawa mkuu, KARIBU SANA KWA BWANA YESU. Utayajua mengi ambayo hukuwahi kuyafikiria.
Hii ndyo sababu waafrica wengi tu maskin...kinaongelewa kitu kingine mtu anainguza kingine
Sor mkuu mungu unayemsema ww ndye huyu alieandka msimwache elimu aende zake lakin pia huyu hyu mungu ndye alie tupa wanadam cku 6 za kufanya kaz...
Sasa tatzo likwap kama hivo vtab utasoma ndan ya cku hzo 6
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom