Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Wakati a vuguvugu la Uchaguzi mwaka 2015, Makamanda mlituaminisha kwamba ni lazima twende Ikulu na kama haitakuwa hivyo, mlikuwa tayari kujiuzulu Siasa. Wengine mlituambia kwamba CCM lazima ing'oke madarakani mwaka 2015 na ikishindikana hivyo, labda baada ya miaka 50.
Kwa kuwa Uchaguzi umepita na mambo hayakuwa, nawauliza maswali madogo tu enyi Viongozi Wakuu wetu CDM;
(a) Ni lini mtachukua uamuzi wa kujiuzulu Siasa baada ya jitihada za kwenda Ikulu kushindikana?
(b) Kwa kuwa mlisema itachukua miaka 50 tena kuing'oa CCM, mnasubiri nini tena au mna uhakika mtakuwepo kipindi hicho ili muing'oe CCM madarakani? Isingekuwa busara kuwapisha wengine waje na mbinu mpya ili kupunguza muda wa kuing'oa CCM madarakani kutoka 50 hadi angalau 10?
Nasubiri majibu yenu ya busara kwa kuwa Chama chetu hakina utaratibu wa kutumia jazba katika kujibu hoja muhimu kama hizi!
CDM Asili mfia Chama.
Kwa kuwa Uchaguzi umepita na mambo hayakuwa, nawauliza maswali madogo tu enyi Viongozi Wakuu wetu CDM;
(a) Ni lini mtachukua uamuzi wa kujiuzulu Siasa baada ya jitihada za kwenda Ikulu kushindikana?
(b) Kwa kuwa mlisema itachukua miaka 50 tena kuing'oa CCM, mnasubiri nini tena au mna uhakika mtakuwepo kipindi hicho ili muing'oe CCM madarakani? Isingekuwa busara kuwapisha wengine waje na mbinu mpya ili kupunguza muda wa kuing'oa CCM madarakani kutoka 50 hadi angalau 10?
Nasubiri majibu yenu ya busara kwa kuwa Chama chetu hakina utaratibu wa kutumia jazba katika kujibu hoja muhimu kama hizi!
CDM Asili mfia Chama.