Kuna watu hawaogopi jehanamu,eti agizo rasmi la rair, kwamba we unataka wasilipe kodi kwakuwa wanapendwa! Kama aloandika haya anacheti cha kidato cha nne basi alipata pepa.
Mwandishi amepaniki.diwani ni mwakilishi wa wananchi wa kata husika ni haki kabisa kuwapo ktk mabaraza.wananchi watawapigia kura wajumbe wengine wanne sa kama hao wote watakuwa wanachama ama wapenzi wa chama flani hilo siyo tatizo la tume na wananchi waliowachagua.watu wengine bana,kulalamika...
Mh. Mwigulu wanaokushambulia hapa ni watu wanaoamin ktk uchama kuliko taifa,kwao wao yeyote anayetishia uhai wa chama chao ni adui na uzuri ni kwamba silaha yao ya matusi na kejeli hapa jf haiathiri fikra za waliokuchagua na wanaoendelea kukuamini.na kwa wanachama wa chama cha mapinduzi hakuna...
Naam mwigamba unaongea kile unachokiamin na hili jambo jema,nadhan wale unaowapa ukweli wanakuelewa hususan walokuumiza toka pale makao makuu.umetisha...
Katika hili ondoeni siasa tutafakari njia sahihi ya kuliondoa hili tatizo, kama kusoma ktk shule nzuri kila mzaz mwenye uwezo anafanya hvyo na watamshangaa kama atamua kumpeleka mwanae ktk shule isiyokidhi, mfano mh mbowe wanae wanasoma wp? Ye ni kiongoz wa chama kinachopigania elimu bora...
haya,msiwe mnapiga kelele kuwa meibiwa kura mnaposhindwa,mana mliyasema hayo kule lushoto wakati kisandu amegombea mwaka 2010,leo umeadmit hana uwezo kushinda ubunge,umeclear doubt ya uwongo wenu cdm.mevurugwa kwakweli...
We nawe mzaliwa wa wp, mana kila jimbo kwenu,unahaha kama mtoto asiye na makazi.unaijua demokrasia ww,ungekuwa unamtaja slaa kama mgombea wakati mchakato haujaanza.unafiki hauna siri kama hivi unaumbuka...
Hakuna sera mbaya kwa sasa kama hyo, mngesema kiutawala walao mngeeleweka ila la kwamba raslimali za sehemu husika zinufaishe kwanza zilipo ni upuuzi wa hali ya juu.hyo lami ilokwenda kwenu huko haikujengwa kwa mapato ya mlima au utalii pekee,ni pamoja na kodi ya korosho za mtwara na tumbaku ya...
Pengine ni kujenga uhusiano mwema na nchi jirani lakin kitendo cha kuipa jina la MWAI KIBAKI barabara ilokuwa inaitwa old bagamoyo road ni kama fedheha kwa Rais mstaafu MKAPA ambaye alifanya mengi kwa nchi <licha ya mabaya yake> Hususan katika ujenzi wa barabara za lami. Nadhan ingekuwa busara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.