Hadi Fredwah kasepa RFA

Hadi Fredwah kasepa RFA

huyu kaka namjua sana,ana tabia chafu na anamnyanyasa sana mke wake tena hata kumpiga.licha ya hayo anatabia chafu na kulewa kupita kias pia.mengne ngoja niache nisije pigwa ban.i wish tabia yake ingekuwa nzur kama kipaj chake
Kumbe Rahab ananyanyaswa jamani....,,mbona pole yake mimi nilisikia ni mlevi sana tena linamnyanyasa mke nimeshamchukia .........."
 
Niaje vyombo vya habari, walianza tanzania daima,wamefata RFA cjui watakuja kina nani,
 
Katika watangazaji wote wa Radio nilio wahi kuwasikia Fredwaa alikuwa anatisha,hivi kwa nini wasifanye lolote lile abakie pale RFA/sasa kama kaondoka ndio hivyo tena inatubidi tuondoke kutafuta radio zingine
 
Kukaa kituo kimoja cha kazi muda mrefu si sifa ,fuata maslahi washabiki mwisho wa siku watakucheka
 
Hebu wandugu nisaidieni frequency za Times fm maana hii sasa inaonekana ndio redio ya kitaa na siyo tena ile redio iliyojaa mashoga ya clouds.
 
Mkuu nadhani hayo ungeyafungulia uzi wake hapa hayahusiki!..

huyu kaka namjua sana,ana tabia chafu na anamnyanyasa sana mke wake tena hata kumpiga.licha ya hayo anatabia chafu na kulewa kupita kias pia.mengne ngoja niache nisije pigwa ban.
i wish tabia yake ingekuwa nzur kama kipaj chake
 
eeba nae,sasa inakuwaje tena manake yule ndiye kinara wa RFA
sasa kuna yule mkongo zuberi ndiye wanamtumia kwa kila kitu
hawezi kukataa kwa sababu akifukuzwa inabidi arudi kwao kongo

Majungu
 
RFA na Startv kwa ujumla itaendelea kuondokewa na watangazaji coz jamaa hua hawajali maslai ya watumishi.watu wanakaa ata miezi minne ndo wanalipwa mshahara wa mwezi m1.watangazaji wengi walobak ni wale walokua maMC na maDJ ambao co professionals.
 
Back
Top Bottom