Malila ni mjasiriamali, mkulima, mfugaji, ... Kwenye miti, mbao, nyanya , mbogamboga, uwekezaji mbalimbali,... yumo. Yuko active zaidi kule jukwaa la kilimo na mifugo.
Mulengera nadhani kastaafu 2014, 2015 au 2016 akarudi kwao Kigoma ambako ana kama ekari elfu moja pamoja na trekta nyingi and fuso kadhaa. Kaenda kujiajiri hasa kwenye kilimo.
Kwa sasa hakun campus ya makao makuu, rather pale pembeni ya OUT Makao makuu ilipokuwa Biafra sec, ndio ilipo Kinondoni Regional Centre. So, kama uko Kinondoni au wilaya ya Ubungo, utashauriwa ukajisajili hapo.
Hata kinu na mchi vinalika pia. Kubwa na mhm ni kutokutumia chakula cha aina moja na mara kwa mara i.e tuwe na kiasi. Kuna watu mihogo na viazi vitamu vimewapa kisukari maana walikuwa wanavitumia in exces! Digestion system pia hukataa baadhi ya vitu na kuvigeuza refusal na hivyo kupunguza...
Hata kinu na mchi vinalika pia. Kubwa na mhm ni kutokutumia chakula cha aina moja na mara kwa mara i.e tuwe na kiasi. Kuna watu mihogo na viazi vitamu vimewapa kisukari maana walikuwa wanavitumia in exces! Digestion system pia hukataa baadhi ya vitu na kuvigeuza refusal na hivyo kupunguza...
Unawajua wahindi kwenye CV zao! Kule kuna ushindani sana as waliosoma ni wengi. Hivyo kila mhindi huhakikisha CV yake inanona hasa kuwa marketable. Si ajabu kukuta mhindi mmoja ana digrii mbili, masters tatu,postgraduate diploma kadhaa, short courses nyingi sana na phd mbili!
QUOTE="joseph1989...
Mapenzi ya ujanani na/au uchumbani si sawa na kwenye ndoa mke na mume. Mke na mume huwa hawana papara za kusimamia shoo nyavu sita karibu daily! As ni mali yako, kunakuwa hakuna papara hizo. Tofautisha kulala na mumeo/mkeo, na kulala na mtu mwingine. Lakini pia mnaweza kuwa na vitanda viwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.