Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Umeshaambiwa stroke alipata 2017 kwa hiyo alipona japo alibakia na athari za stroke ambazo mara nyingi mtu huishi nazo. Ni kweli alikuwa mdhaifu lakini si kiasi cha kushindwa kwenda holiday Zanzibar na Dubai. Hali yake ilikuwa stable na kifo chake ni kifo tu kama vifo vingine.
MUNGU awe mfariji mkuu kwa wanafamilia na watanzania kwa ujumla!
MUNGU awe mfariji mkuu kwa wanafamilia na watanzania kwa ujumla!
Sasa mgonjwa wa stroke umpeleke Zanzibar wiki hii wiki ijayo Dubai. Kuanguka akiwa peke yake ilhali yeye ni married man tena yuko holiday na mkewe.