Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,461
- 829,854







Pascal Mayalla ni mmoja wa anayetumia kalamu yake kuishi though naye tutampoteza any day maana anaguza nyeti za wadosi.
Mshana Jr ni like nabii ambao Corona imewaumbua, he is there sasa kaanza kusoma vidole, ni kama wateja wamepungua sana as everyone kajifungia kwake.
Nani ni zaidi ,
Namtaja Mshana Jr ni zaidi sana maana alishasema alimtia dead person,
Sent using Jamii Forums mobile app






Mshana Jr ni namba 1 moja hapa Jf hata akipata tatizo wana Jf lazima wamchangie/ pia Pascal Mayalla niye yuko vizuri Sana.




Namba 1 mshana
Namba 2 mshana
Namba 3 mshana
Jamaa toka atuunganishe walevi wote nikajua hakuna mwenye uwezo kumzidiii
Sent using Jamii Forums mobile app



thanks bro for a wonderful comment... 










Tangu Mshana Jr aseme simba Vs Yanga itakuwa 4:0, aaah huyu mganga hapana bwanakidding.
Wote wapo vizuri, kila nikiona bango la yoyote nasoma coz sitoki bure, ilà ulozi wa mshana siupendi kivile.
Big up bros Pascal Mayalla & Mshana Jr .

Ni nani?.Malila
Mkuu wote ni zaidiWakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.
Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Amen Bro! Thanks. Huyu Elitwege ni dekio la kijani! She knows me well, huwa simkopeshithanks bro for a wonderful comment...
Much respect kwa pascal ni mmojawapo aliye ni inspire kujiunga JF.. Bila kumsahau Elli Mshana
paskal popote ulipo you have my big respect hasa kwenye ule uzi wako wa meditation..
Elitwege my longtime hater umenifanya kuwa bora zaidi na zaidi kwakuwa so negative kwenye post zangu... So I adore your guts of hatred... You made me practice my wisdom of torelance and be extra careful...
Kwa wengine wote asanteni sana.. Bila nyie nisingekuwa mimi.. Hasa wale haters..
Let love lead... Am humbled... You have my much much respect!
Jr![]()
Malila ni mjasiriamali, mkulima, mfugaji, ... Kwenye miti, mbao, nyanya , mbogamboga, uwekezaji mbalimbali,... yumo. Yuko active zaidi kule jukwaa la kilimo na mifugo.Ni nani?.
Mhh basi yuko active jukwaa moja tu kama PascalMalila ni mjasiriamali, mkulima, mfugaji, ... Kwenye miti, mbao, nyanya , mbogamboga, uwekezaji mbalimbali,... yumo. Yuko active zaidi kule jukwaa la kilimo na mifugo.
hahaha walevi hoyeee. mi napenda ametuunganisha wapenda misosiNamba 1 mshana
Namba 2 mshana
Namba 3 mshana
Jamaa toka atuunganishe walevi wote nikajua hakuna mwenye uwezo kumzidiii
Sent using Jamii Forums mobile app