Nicho North11
Member
- Mar 28, 2019
- 29
- 45
Habari za jioni wadau!
Mimi ni mkazi wa Sinza jana nikaenda kumtembelea Rafiki Yangu Maeneo ya Tegeta.
Mida fulani hivi kama kawaida yetu Friday kwenda kusafisha Koo na Gold water akanipeleka KIBO pale Tegeta Kibaoni tumekaa mpaka mishale ya Saa 9 tukasema tuondoke ile kutoka Nje opposite nikaona Bar fulani inaitwa KB Mziki kama wote na Cha Kushangaza na Polisi wapo ikabidi tuendeleze ligi mpaka asubuhi Saa 11 na watu ni Shazi muda wote.
Mbona Sinza hizo habari za kukesha hamnaga ila nje ya mji bado zipo
Mimi ni mkazi wa Sinza jana nikaenda kumtembelea Rafiki Yangu Maeneo ya Tegeta.
Mida fulani hivi kama kawaida yetu Friday kwenda kusafisha Koo na Gold water akanipeleka KIBO pale Tegeta Kibaoni tumekaa mpaka mishale ya Saa 9 tukasema tuondoke ile kutoka Nje opposite nikaona Bar fulani inaitwa KB Mziki kama wote na Cha Kushangaza na Polisi wapo ikabidi tuendeleze ligi mpaka asubuhi Saa 11 na watu ni Shazi muda wote.
Mbona Sinza hizo habari za kukesha hamnaga ila nje ya mji bado zipo