Kumpenda mama siyo dhambi, hata ukimpenda kiasi gani lakini uwe na kikomo, haswa unapokuwa mbele ya mzazi. Wakati nasoma post yako Kuna vitu vingi umeficha, mzee siyo mjinga awe na wivu kwa mambo ya kijinga namna hiyo, inawezekana jinsi mnavyokaa, mnavyoishi na kuongea siyo inavyopaswa kuongea...
Samahani na poleni na majukumu ya hapa na pale,
Mwenzenu hapa ni mwanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha,mwaka wa mwisho...
Ombi langu kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia naomba anisaidie.
Natafuta sehemu ya kufanya kazi ya kujitolea,(volunteer) lengo na dhumuni la kuomba ni kutaka...
Naomba mtu anayejua utaratibu wa kupata mifuko ya kupaki bidhaa, mfano mifuko hii ya Chama, anaeleweshe. Nimefungua company, sasa nataka mifuko special ambayo itakuwa inapaki bidhaa zangu na mfuko huo uwe na nembo yangu na jina la company pamoja na shirika la viwango.
Anayejua please...
Kwanini hatusikii kelele tena za makontena? Kwanini hatusikii tena kwa mwezi mapato yaliyopatikana yanazidi kuongezeka? Au watu hawalipi tena kodi?
Jibu ni rahisi tu.
Kwa wale waliosoma account watakuwa wanajua kitu kinaitwa outstanding/arrears na pre paid.
Kilichokuwa kikifanyika mwanzoni...
Rais wa ujeruman amesema hatoendelea kugombea nafasi ya urais. Bw Joachim amesema umri na Hali ya afya ndo sababu kubwa.
African leaders... Ntafia ikulu,
Viva Robert mugabe na m7. [emoji23][emoji23]
Former East German civil rights activist will not stand for second term, despite appeals across political spectrum for him to stay
Germany’s president, Joachim Gauck, has announced he will not stand for a second term in office, prompting an instant race to find his successor and effectively...
Naibu spika Dr Tulia Acksoni amesema anashangazwa na hatua ya wabunge wa upinzani kutoka kila anapoingia bungeni, pia amekaririwa akisema kuwa siyo vizuri kwan hawawafanyii vema wananchi kwan wamekuja kuwasilisha wananchi na siyo kutoka bungeni. Una lipi la kumwambia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.